Nauza script mbili (2) za movie

Joined
May 3, 2023
Posts
5
Reaction score
4
Mimi ni Mwandishi wa Simulizi, kwa sasa ninazo simulizi Mbili za Maisha, ambazo wacheza filam wanaweza kuzitumia kuigiza.

Kwa anayehitaji, tuwasiliane Whatsapp 0768615672
 
Sasa mkuu Nina swali mtu akija si inabidi azione je aki copy idea yako.maana nachojua mtu hawez kutoa hela kama hajaipenda

Nieleweshe hapo
NB:sina maarifa na hio movies industry
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…