Nauza scania mende bei poa.

Sina sana uzoefu na biashara za malori ila utapata tu wateja, mende nzuri
 
Huwezi kupata kwa bei hiyo. Siku hizi mpaka million 40 unapata
Usimkatishe tamaa,inategemea na ubora na mwaka wa gari. Anaweza akampata tajiri wa mawe hio 70 sawa na laki.
 
Samahani wakuu, hivi kwanini inaitwa mende?
Ina Front axle mbili mkuu, zile axle za hapo mbele huwa gari ikikata kona zinageuka pamoja, pia muundo wake hiyo gari ni kama mende tu, kwani mende ana miguu mingapi kijana?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ina Front axle mbili mkuu, zile axle za hapo mbele huwa gari ikikata kona zinageuka pamoja, pia muundo wake hiyo gari ni kama mende tu, kwani mende ana miguu mingapi kijana?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo maana siku hizi JF nimeigeuza kama google ndogo hv....ha ha haaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…