Nauza samsung J1 ace kwa 150,000tshs

Nauza samsung J1 ace kwa 150,000tshs

Wakuu simu niliyotaja hapo juu naiuza, simu nimeitumia wiki moja tu toka nimenunua Dukani.

Bado mpya, haijawahi kuanguka Wala kuchubuka, ina Rangi nyeusi.

Nitakupa charger original na hear phones Zake zikiwa kwenye box lake.

Napatikana mwenge.

0745657885
Tubadilishane na tecno l5????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom