Nauza Samsung Galaxy Tab 2 GT-P5100

Nauza Samsung Galaxy Tab 2 GT-P5100

taurus5270

Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
79
Reaction score
13
Nimeitumia kama miezi 3, nililetewa na ndugu yangu direct from America, original kabisa!
Sababu ya kuiuza ni kuwa siitumii mara kwa mara kwa sababu ni kubwa sana 10inch. Nilitaka ya 7inch lakini ikaletwa hii. Bei laki sita na elfu hamsini. 650,000/=
Napatikana Dar es salaam. !
 
Nipe hizi details kuhusu Tab yako,

i) ina 3G au ni WI-FI pekee?

ii) internal memory ngapi?

iii) camera ina mega pixel ngapi?

iv) Android version yake?

v) Capacity ya RAM?
 
Nipe hizi details kuhusu Tab yako,

i) ina 3G au ni WI-FI pekee?

ii) internal memory ngapi?

iii) camera ina mega pixel ngapi?

iv) Android version yake?

v) Capacity ya RAM?

i)

Band
GSM&EDGE Band GSM Quad Band (850/900/1,800/1,900MHz)
3G Band 850 / 900 / 1,900 / 2,100 MHz
Network & Data
GPRS GPRS Class 33
EDGE Yes
3.5G HSPA+ (up to 21Mbps)
Inshort inatumia line SIM CARD ya mtandao wowote.

ii) Internal capacity ni 16GB na unaweza kuweka memory card up to 32GB

iii) Camera ya nyuma ina 3 megapixel ya mbele ni VGA

iv) Operation System Android™ 4.0.3 (Ice cream sandwich) kila ikiwa update unadownload updates! now ipo 4.2

v)Ram ni 1GB 1GHz
 
i)

Band
GSM&EDGE Band GSM Quad Band (850/900/1,800/1,900MHz)
3G Band 850 / 900 / 1,900 / 2,100 MHz
Network & Data
GPRS GPRS Class 33
EDGE Yes
3.5G HSPA+ (up to 21Mbps)
Inshort inatumia line SIM CARD ya mtandao wowote.

ii) Internal capacity ni 16GB na unaweza kuweka memory card up to 32GB

iii) Camera ya nyuma ina 3 megapixel ya mbele ni VGA

iv) Operation System Android™ 4.0.3 (Ice cream sandwich) kila ikiwa update unadownload updates! now ipo 4.2

v)Ram ni 1GB 1GHz

Mambo mengine yote yapo sawa kasoro tu hiyo camera. Camera ya 3 mp ni insufficient sana kuweza kuchukua object very cleary.
 
Mambo mengine yote yapo sawa kasoro tu hiyo camera. Camera ya 3 mp ni insufficient sana kuweza kuchukua object very cleary.

me natumia hii device, hiyo camera ni bab kubwa kuliko unavyoweza idhania, inarekodi 1080p hd vzuri sana aisee
 
huyo anayeshangaa muulize ni tab gan aliiona ina 8mp??? Tab kibao hapa bongo ni 3mp
 
Nimeitumia kama miezi 3, nililetewa na ndugu yangu direct from America, original kabisa!
Sababu ya kuiuza ni kuwa siitumii mara kwa mara kwa sababu ni kubwa sana 10inch. Nilitaka ya 7inch lakini ikaletwa hii. Bei laki sita na elfu hamsini. 650,000/=
Napatikana Dar es salaam. !

kabla ya kutoa bei zenu muwe mnapitia maduka ya samsung. tab 3 laki 615 mpya. tab 2 processor ndogo,internal memory pia ndogo. haikaina betri alafu saizi tuko android 4.2 wizzy
its more than computer. ingekuwa 8" tab 3 sawa. ambazo hazijaingia bongo bado. bei utazunguka sana watu siku izi wananunua wenyewe ebay.
 
huyo anayeshangaa muulize ni tab gan aliiona ina 8mp??? Tab kibao hapa bongo ni 3mp
Mkuu watu unajua wanaambiwa kitu wanakariri na kufuata mkumbo. 3 megapixel kwa Tab ni kawaida sana, ipad 3 yenyewe ambayo bado tunaiita ni current ina 5 megapixel, Tab ambayo ipo improved kwenye camera ni Galaxy Note edition ya 2014 ndo inayo 8 megapxl. tab na smartphones hazifanani kwenye camera wadau
 
Mambo mengine yote yapo sawa kasoro tu hiyo camera. Camera ya 3 mp ni insufficient sana kuweza kuchukua object very cleary.

Hakuna tab ya samsung yenye camera inayozidi 3mp. Haya iwe current vp. Search kwenye website ya sumsung uone mwenyewe. Pia mara nyingi tablet hazitumiki kwa ajili ya kuchukua serious pictures!
 
me natumia hii device, hiyo camera ni bab kubwa kuliko unavyoweza idhania, inarekodi 1080p hd vzuri sana aisee

Yes kwenye kurekodi ipo vizuri, na sound inatoka very clear hata kama mtu hayupo karibu na device!
 
huyo anayeshangaa muulize ni tab gan aliiona ina 8mp??? Tab kibao hapa bongo ni 3mp

Hana uzoefu na hizi device ndio maana kakurupuka, na sio bongo tu, maana hiz za bongo si zinatoka huko mbele. I am glad kujua kuna watu wanaoelewa kama wewe!
 
kabla ya kutoa bei zenu muwe mnapitia maduka ya samsung. tab 3 laki 615 mpya. tab 2 processor ndogo,internal memory pia ndogo. haikaina betri alafu saizi tuko android 4.2 wizzy
its more than computer. ingekuwa 8" tab 3 sawa. ambazo hazijaingia bongo bado. bei utazunguka sana watu siku izi wananunua wenyewe ebay.

Sasawa kaka, kwanza nikujuze tu tab 3 ndio current kwa sasa sikatai, lakini tab 2 ndio best tab kwa ubora! Fatilia reviews! Kwa processor sawa ila kwa internal memory hizi tab za samsung zinakuja kuanzia 8gb 16gb na 32gb kwa hiyo unanunua kulingana na uwezo wa pesa yako. Watu wananunua ebay mie device zangu nanunulia Amazon. Sina kawaida ya kununua bongo hata simu ya elfu 20 tu. Na kuhusu swala la android kaka hiyo ni software tu, ni kama windows! Inapotoka tu inadetect na inakuambia ufanye update! Zaidi hii ni biashara huria hivyo sipangiwi bei. Mwisho kabisa device nimeshauza, na niliyemuuzia nimemwambia ikipata tatizo airudishe maana ina card ya warrant. ASANTE.
 
Mkuu watu unajua wanaambiwa kitu wanakariri na kufuata mkumbo. 3 megapixel kwa Tab ni kawaida sana, ipad 3 yenyewe ambayo bado tunaiita ni current ina 5 megapixel, Tab ambayo ipo improved kwenye camera ni Galaxy Note edition ya 2014 ndo inayo 8 megapxl. tab na smartphones hazifanani kwenye camera wadau

Wanafananisha Tablet na Smartphone, tofauti kabisa, na ndio maana hata application zingine kwenye simu zinakataa na kwenye tab zinakubali and its vise versa. Huwa napata faraja sana kukutana na mtu anayeelewa na anayefatilia, sio kubisha tu.
 
huyo anayeshangaa muulize ni tab gan aliiona ina 8mp??? Tab kibao hapa bongo ni 3mp
Tab za Sony zina 8 MP na zipo Mlimani duka linalouza vifaa vya Sony bei ni TZS 999,999.00 hizo tablet pia ni water proof,kaka bongo kila kitu kipo ni fweza yako tu
 
Tab za Sony zina 8 MP na zipo Mlimani duka linalouza vifaa vya Sony bei ni TZS 999,999.00 hizo tablet pia ni water proof,kaka bongo kila kitu kipo ni fweza yako tu

Lakini post yangu ilikuwa inaongelea tab ya samsung. Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom