taurus5270
Member
- Dec 31, 2013
- 79
- 13
Nimeitumia kama miezi 3, nililetewa na ndugu yangu direct from America, original kabisa!
Sababu ya kuiuza ni kuwa siitumii mara kwa mara kwa sababu ni kubwa sana 10inch. Nilitaka ya 7inch lakini ikaletwa hii. Bei laki sita na elfu hamsini. 650,000/=
Napatikana Dar es salaam. !
Sababu ya kuiuza ni kuwa siitumii mara kwa mara kwa sababu ni kubwa sana 10inch. Nilitaka ya 7inch lakini ikaletwa hii. Bei laki sita na elfu hamsini. 650,000/=
Napatikana Dar es salaam. !