Nauza Samaki wabichi

Nauza Samaki wabichi

emastang

Member
Joined
Jun 29, 2016
Posts
16
Reaction score
0
Habari,
Ninatoa huduma ya kutafuta na kuandaa samaki wabichi na kutuma kwa walio mikoani, nipo Musoma. Kwa anaeitaji anicheki (inbox).
Wanakuja wakiwa wameganda.
Sato na Sangara wanapatikana.
Contact:0766968340
 
Habari,
Ninatoa huduma ya kutafuta na kuandaa samaki wabichi na kutuma kwa walio mikoani, nipo Musoma. Kwa anaeitaji anicheki (inbox).
Wanakuja wakiwa wameganda.
Sato na Sangara wanapatikana.
Contact:0766968340
Unauza kwa utaratibu upi?
 
Nauza kwa bei ya jumla, mi nakuuzia kwa bei ya jumla, tunapima kwa kilo kulingana na kilo unazoitaji, unatuma pesa ya kilo za samaki unazotaka then nakutumia mzigo.
Njia ya utumaji.
Tunatuma kwa malori yanayobeba mboga hasa ya samaki. Gharama za usafiri ni juu yangu. Karibu.
 
Nauza kwa bei ya jumla, mi nakuuzia kwa bei ya jumla, tunapima kwa kilo kulingana na kilo unazoitaji, unatuma pesa ya kilo za samaki unazotaka then nakutumia mzigo.
Njia ya utumaji.
Tunatuma kwa malori yanayobeba mboga hasa ya samaki. Gharama za usafiri ni juu yangu. Karibu.
Mkuu kilo ya sato bei gani na sangara bei gani. Vutia wateja hapa negotiations ndio huko PM lakini bei elekezi weka hapa.
 
Sato 7500 kilo
Sangara 5500 kilo
Asante sana. sijui kama imeelezwa hapo juu? Uzito wa chini kwa mzigo kuagiza ni kg ngapi? Mzee natamani sana lakini payment in advance inanipa shaka maana sikujui wala sijui ofisi yako ilipo. Niondoe shaka kwa hili nianze kuagiza kitoweo. Si unajua dunia sasa imani imekwisha!
 
Kiwango cha chini ni kg100, mi nipo Musoma pia ni muajiliwa wa serikali, cha msingi tuwasiliane,upo mkoa upi ndugu
 
Back
Top Bottom