sijakuelewa
Anaongelea aquarium. Anauza samaki na mapambo ya aquarium. Kama na mie nimemuelewa.
appoh 19:59 Today
nauza
samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea
serfin more
shiling 10000 kwa pea
orange more shiling 10000 kwa pea gapi
wekundu
shiling 10000 kwa
pea gold fish
shilingi10000 kwa pea. Bei zinaambungua na
zinazungumzika
Mawasiliano 0712505049
napatikana banana ,ukonga kuvuka reli mita mia hamsini kutoka aviation house au bigjohn pub
ntakuletea popote ulipo dar na hata mikoani ninasafirisha