Nauza samaki wa mapambo

Nauza samaki wa mapambo

punguzo kubwa ni elfu tano pair yani jike na dume
 
Mimi nina tank la kioo la lita 80 gharama za kufungiwa pamp na taa itakuwa kias gani? Na je una aina zote za samaki
taa 25elfu ya rangi tatu napampu si nzuri tumia sponji filter ya elfu 25 & pampu ya elfu 25 So pampu unaichomeka kwenye sponji filter inasafisha maji na kutoa bubles
 
0712505049 nyongeza zipo za kutosha ukinunua pair tano na zaid
 
appoh 19:59 Today

nauza

samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo

black more
shiling 10000 kwa pea

serfin more
shiling 10000 kwa pea

orange more shiling 10000 kwa pea gapi

wekundu
shiling 10000 kwa


pea gold fish
shilingi10000 kwa pea. Bei zinaambungua na
zinazungumzika
Mawasiliano 0712505049


napatikana banana ,ukonga kuvuka reli mita mia hamsini kutoka aviation house au bigjohn pub
sawa ntakuja hapo kwasasabu nakufahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom