Mtoboasiri JF-Expert Member Aug 6, 2009 5,101 1,946 Sep 5, 2012 #1 ...atakaetoa dau kubwa itakuwa yake.
Mtoboasiri JF-Expert Member Aug 6, 2009 5,101 1,946 Sep 5, 2012 Thread starter #3 ChiefmTz said: Inapatikana wapj Click to expand... Ninayo hapa nilipo, we sema tu utatoa kiasi gani?
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Sep 5, 2012 #4 balaa ya hii saa ni kwamba battery ni ubongo wako...!!!
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 6, 2012 #5 saa unaivaa kichwani sasa kama ndio nataka kuangalia muda halafu huwa naitumia kofia kuficha upara wangu nitatazamaje hiyo saa mbele ya wanoko.
saa unaivaa kichwani sasa kama ndio nataka kuangalia muda halafu huwa naitumia kofia kuficha upara wangu nitatazamaje hiyo saa mbele ya wanoko.
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Sep 6, 2012 #6 Ukiivaa kofia hii jiandae kusimamishwa watu wasome muda....