nauza rozera

nauza rozera

Chiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2008
Posts
4,144
Reaction score
5,005
tunauza rozera kuanzia kilo 100
kilo moja shillingi 12500
wasiliana nasi kwa simu namba 0767 226144 kwa oder yako
 
mmh that price is so high mbona wenzio wanauza less au yako ni more superior quality?
 
Mkuu, rozera ndo kitu gani labda naweza kuiitaji fafanua tafadhali make kiswahili kinakua kilasiku.
 
We mwenye hiyo biashara hebu sema rozera ndo nini?
 
wakati mwingine Mtu unakwamisha mwenyewe biashara yako kwani naona wengi haujui Rozera ni kitu gani.
 
Whts ths Rozera thing? Biological name? Tunataka tui'search kwenye web. Labda kuna mtu aliewahi fanya research ya jani/ua hili. Tell us.
 
rozela---choya...
Maua madogo ya rangi nyekundu..hutumika sana kutengenezea juice.INASEMEKANA HUONGEZA DAMU HARAKA, inaota singida,dodoma,manyara etc.... Maeneo haya umeuziwa bei kubwa basi ndoo kubwa kwa 5000..
 
Rozela ni choya. Unaweka kwenye maji kwa ajili ya juice
 
Kwa hakika mtu asiyejua Rozela haitaji hata kununua! wanaoliza wako curious tu, na si wateja!
 
rozela---choya...
Maua madogo ya rangi nyekundu..hutumika sana kutengenezea juice.INASEMEKANA HUONGEZA DAMU HARAKA, inaota singida,dodoma,manyara etc.... Maeneo haya umeuziwa bei kubwa basi ndoo kubwa kwa 5000..
Duuuuh! kitu nalima mwenyewe halafu nilikuwa sijui kinaitwaje !
Hii kitu sisi tunatengenezea pombe (Kongwa). Pombe yake tamuuuu,inaitwa choya.
 
rozela---choya...
Maua madogo ya rangi nyekundu..hutumika sana kutengenezea juice.INASEMEKANA HUONGEZA DAMU HARAKA, inaota singida,dodoma,manyara etc.... Maeneo haya umeuziwa bei kubwa basi ndoo kubwa kwa 5000..
hiyo bei aliyotoa!!na kiwango cha chini kilo 100 au alikuwa ana maanisha nini!!labda wewe umemuelewa!
 
rozela---choya...
Maua madogo ya rangi nyekundu..hutumika sana kutengenezea juice.INASEMEKANA HUONGEZA DAMU HARAKA, inaota singida,dodoma,manyara etc.... Maeneo haya umeuziwa bei kubwa basi ndoo kubwa kwa 5000..
Bora umetuelewesha ndugu yetu wa JF maana huku kwetu ktk Soko Kuu la Majengo ndoo ya lita 20 ni 3,000/ na hata ukutaka gunia ni 18,000/ usiniulize kilo ngapi mm nilishawahi kumpa Shangazi yangu km zawadi
Sema utunzaji wake sio msafi labda ndio maana ya bei kushuka

Huyu Protozoa anatushusha thamani hata kuuliza Rozera / Rozela imekuwa ujiko watu wa Facebook kz kweli2

Amoeba Kwa hakika mtu asiyejua Rozela haitaji hata kununua! wanaoliza wako curious tu, na si wateja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom