Nauza plot yangu kwa bei poa

Nauza plot yangu kwa bei poa

Mmasai Asilia

Member
Joined
Jul 22, 2015
Posts
48
Reaction score
6
Habari za Jumapili wadau wa jukwaa hili la biashara, natumaini wote ni wazima na mnaendelea jukumu la kujenga Taifa.

Kwa fursa hii ningependa kuwataarifu kuwa ninaplot yangu ipatayo Heka Moja na Robo, Naiuza kwa bei poa kwani nahitaji kurudi shule.

Kiwanja hakina hati bali ni Plot, hakina mgogoro wala shida yeyote. Wote mnakaribishwa. Kwa aliyetayari anifuate INBOX nimpe utaratibu wa kukutana nae.
 
Habari za Jumapili wadau wa jukwaa hili la biashara, natumaini wote ni wazima na mnaendelea jukumu la kujenga Taifa.

Kwa fursa hii ningependa kuwataarifu kuwa ninaplot yangu ipatayo Heka Moja na Robo, Naiuza kwa bei poa kwani nahitaji kurudi shule.

Kiwanja hakina hati bali ni Plot, hakina mgogoro wala shida yeyote. Wote mnakaribishwa. Kwa aliyetayari anifuate INBOX nimpe utaratibu wa kukutana nae.



Weka wazi bei ndugu wahitaji tupo wengi
 
Mmasai Asilia nami nipo Madale,kwa kuwa hujaweka namba ya simu basi nicheki ktk 0786 294545 nikione leo then tuongee biashara
 
Kaka haya mambo ya kukutafuta pembeni ni magumu.Wewe ndio mwenye kiwanja unajua bei gani unayotaka kuuza weka bei kama kuna picha za kiwanja unaweza kuziweka
 
Nakuomba unitafute kwenye>0656608136,,,(call,text&Whatsapp)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom