Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

Nzuri,hii inaweza kunifaa kwa kuendea ofisi,Max.speed ngapi mkuu?
 
Kwa nn hammalizi matangazo ya biashara zenu?mnauza au mnaturingishia?kwa nn hujaweka bei au unataka ufuatwe pm uwapige kila mtu bei yake?
Hizi kelele nyingi itakuwa sio mnunuzi wewe
 
Boss mi nahitaji hyo muffler uliyotoa coz ninayo pikipiki km hyo Ila nikienda Gileara runner SP, CC 180 nlinunua Zanzibar ila muffler yake ilivunjika wakati wa kusafirisha. Vipi naweza kuipata na bei yake ni kiasi gani. Npo Kanda ya ziwa...
 
Boss mi nahitaji hyo muffler uliyotoa coz ninayo pikipiki km hyo Ila nikienda Gileara runner SP, CC 180 nlinunua Zanzibar ila muffler yake ilivunjika wakati wa kusafirisha. Vipi naweza kuipata na bei yake ni kiasi gani. Npo Kanda ya ziwa...
Mkuu unaweza kunipa Tip kidogo kama ukinunu Pik pik zanzibar afu nikaja nayo Bara, Utaratibu tu nahitaji kujua
 
Back
Top Bottom