Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

Jul 29, 2015
75
68
wakuu salaam zetu.
ninauza pikipiki
bei 2.6m

150cc
imetembea 1577km.
automatic
ipo dar,warehouse
Hii pikipiki haijatumika Tanzania.kwa maana hyo bado haijasajiliwa.pikipiki ni imara ,inatulia barabaran ,ulaji wa mafuta mzuri.Nimeitumia mwenyewe muda wa mwezi 1 kabla sijaamua kuileta Tz.imefungwa sport muffler.
mawasiliano nichek watsapp kwa namba +8615622337342,ukiwa serious nakupa namba ya mtu ukaikague warehouse
20160810_185334.jpg
20160810_185322.jpg
20160810_185428.jpg
IMG-20161014-WA0004.jpg
20160810_185334.jpg
20160810_185322.jpg
20160810_185428.jpg
IMG-20161014-WA0004.jpg
 
wakuu salaam zetu.
ninauza pikipiki
bei 2.6m

150cc
imetembea 1577km.
automatic
ipo dar,warehouse
Hii pikipiki haijatumika Tanzania.kwa maana hyo bado haijasajiliwa.pikipiki ni imara ,inatulia barabaran ,ulaji wa mafuta mzuri.Nimeitumia mwenyewe muda wa mwezi 1 kabla sijaamua kuileta Tz.imefungwa sport muffler.
mawasiliano nichek watsapp kwa namba +8615622337342,ukiwa serious nakupa namba ya mtu ukaikague warehouseView attachment 467006 View attachment 467007 View attachment 467008 View attachment 467009 View attachment 467006 View attachment 467007 View attachment 467008 View attachment 467009
Kwa nn hammalizi matangazo ya biashara zenu?mnauza au mnaturingishia?kwa nn hujaweka bei au unataka ufuatwe pm uwapige kila mtu bei yake?
 
wakuu salaam zetu.
ninauza pikipiki
bei 2.6m

150cc
imetembea 1577km.
automatic
ipo dar,warehouse
Hii pikipiki haijatumika Tanzania.kwa maana hyo bado haijasajiliwa.pikipiki ni imara ,inatulia barabaran ,ulaji wa mafuta mzuri.Nimeitumia mwenyewe muda wa mwezi 1 kabla sijaamua kuileta Tz.imefungwa sport muffler.
mawasiliano nichek watsapp kwa namba +8615622337342,ukiwa serious nakupa namba ya mtu ukaikague warehouseView attachment 467006 View attachment 467007 View attachment 467008 View attachment 467009 View attachment 467006 View attachment 467007 View attachment 467008 View attachment 467009
Hizo spot light umefunga wewe au ndo kiwandani huku kwetu mpinga hataki 30000 kila siku sina
 
Hizo spot light umefunga wewe au ndo kiwandani huku kwetu mpinga hataki 30000 kila siku sina

mkuu sio sport light.ni sport muffler .exhaust pipe ninayoiongelea.kiwandan inakuja na muffler yake ndogo flan hiv.napenda speed ndo mana nikaifunga muffler sport,hapo boxer inamkuta
IMG-20161014-WA0004.jpg
 
Kwa nn hammalizi matangazo ya biashara zenu?mnauza au mnaturingishia?kwa nn hujaweka bei au unataka ufuatwe pm uwapige kila mtu bei yake?
Watu mnakurupuka tu sijui kusoma hamjui.......... Ina maana wewe hiyo bei hapo juu hauioni..... Unaishia kuangalia picha tu. Dah watz shida tupu
 
Watu mnakurupuka tu sijui kusoma hamjui.......... Ina maana wewe hiyo bei hapo juu hauioni..... Unaishia kuangalia picha tu. Dah watz shida tupu
We umesoma una kitu gani?kama kutoona ni kutojua kusoma basi wewe ambaye umesoma huna akili!
 
Back
Top Bottom