Nauza pikipiki million 4

Nauza pikipiki million 4

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,415
Ni Honda xelvis tv250,nilipewa na boss baada ya mkataba kuisha
IMG-20181124-WA0010.jpeg
IMG-20181124-WA0012.jpeg
IMG-20181124-WA0011.jpeg
 
Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
 
Nijue bei kwani mi muuza pikipiki, nimeshakuambia au mzee huelewi
 
Nijue ili eweje, nisaidie wewe mimi si muuza pikipiki
 
Kweli kabisa ukisoma hapo utaona nimepewa baada ya boss wangu kumaliza mkataba sijamuomba
 
Ifanyie service kwanza ndo uuze mana inaonekana imechoka sana na inahitaj matengenezo iyo...kwa haraka haraka apo ilipo haina...
Matairi
Rims zimeshapinda
Shockups zimekwisha
Timing chain imekwisha
Taa zimekwisha
Dashboard imekwisha
Injini imeguswa iyo
Brake lines zmekwisha
Bampa zimekwisha

Rekebisha kwanza hivo alafu ndo uuze ila bei haitafika M 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom