Iko makini sana hii
Wasiwasi wangu Mwabulambo ni kuwa bara bara zetu za inji hii hazina urafiki na piki piki.
Binafsi nimeendesha sana pikipiki hapa Dar. Nimekoswakoswa mara kadhaa na nishachomekewa kama mara 10 hivi na zote inabidi nitumie akili ya ziada kuokoa jahazi.
Madereva wa magari wa Bongo hawana huruma kabisa na waendesha pikipiki.