Nauza pikipiki honda 125 xl.ni kama mpya.

Ringo Edmund

JF-Expert Member
May 10, 2010
4,881
1,124
Mwenye kuihitaji apige cm 0783736379,0754533784.
Ipo arusha IMG_0004.JPG IMG_0002.JPG
 
Mkuu Ringo hivi pikipiki kama hiyo inakula km ngapi kwa lita moja ya mafuta?
 
Iko makini sana hii
Wasiwasi wangu Mwabulambo ni kuwa bara bara zetu za inji hii hazina urafiki na piki piki.
Binafsi nimeendesha sana pikipiki hapa Dar. Nimekoswakoswa mara kadhaa na nishachomekewa kama mara 10 hivi na zote inabidi nitumie akili ya ziada kuokoa jahazi.
Madereva wa magari wa Bongo hawana huruma kabisa na waendesha pikipiki.
 
Nimeipenda sana Hiyo, ila bei ndio mgogoro.Mi nina 1.5.Mzee wa ukhayaa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom