Nauza nyumba maeneo ya Kisewe(Mbande)

Nauza nyumba maeneo ya Kisewe(Mbande)

~~~>>>Hiyo sio nyumba ni kibanda.....
 
Kama unanunua banda au kiwanja ongea Pm tu na muuzaji siyo kutoa maoni hapa ya kashfa,kuandika eti hilo banda au nyumba ni kuonesha kuwa wewe siyo mnunuzi.mnunuzi ushaletewa picha zithaminishe mwenyewe pembeni ukishapata jibu unajua unachokinunua.kama chai unayo si haba hilo eneo ukalivunja ukaweka plan yako mpya uitakayo.Hujakatazwa tutumieni busara jamani.
 
Punguzeni dharau,elewa sisi wote anaetupa hivi vitu ni mmoja,wewe Leo unacheka pagale langu wakati pengine wewe hata choo tu huna!pengine hata kiwanja tu cha kuweka hicho choo huna.mm kwa kweli namshukuru Mungu kunipa pagale.Na kwa zarau zako hizi sijui kama wewe utapata hata pakukaa?utapangaa mbaka ujute
 
Back
Top Bottom