Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
Nipo kimara mkuu
Nipo kimara korogwe mkuu...wew sema ulipo na unahitaji kiasi gan,utaletewa.nyama ni nzur na huwa tunachonga mafuta kama ni mengi
Poa poaNapajua hapo kuna kabaa flan nilikuwa nanunua sana hpo,mm nko kwa Msuguli siku nikhitaj nitakwambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngombe anachukua muda kukomaa kakaKumbe bei kwa kilo inafanana na ng'ombe ! Sasa kwanini usifuge ng'ombe upate hela nyingi?
Sijakuelewa mkuuUnategemea sausages?
Pamoja na MAZAO yake yote.pork ni haramu
Pia Nguruwe anaweza kuzaa zaidi ya watoto ishirini kwa mwaka,mombe anazaa kamoja tuuNgombe anachukua muda kukomaa kaka
Nguruwe wa miezi 8 analika na unamake pesa kwa muda mfupi kams ukiwa serious na agrobusness
Mpe anae kupa
Unapata mkuuUnatoa nyama Moshi au wanyama na kuja kuchinjia dar? Nahitaji nyama fresh sio ya kutoka jokovu.
Aisee humtakii mema jamaa!Mkuuu njoo na huku Zanziberii utupe vtu vzr mkuu...
By mufti