Ni kweli usemavyo....Xtrail haziuziki .....watu wenye kujua magari, wanasema ukininunua, ujue umeumianamba BTD ni usajili wa mwaka 2012,tafsiri yake ushaitumia si chini ya miaka mitano!
Ushauri;
- Extrail ni moja ya magari yaliyopoteza sana thamani kwa miaka ya karibuni kutokana na matatizo yaliyokuwa nayo(kuchemsha).
- sasa ivi ukiagiza kwa gari kama hyo yako yenye km's kama hizo basi bei yake haitazidi mil.10 yaani ni kama hyo unayotaka kuuza.
- Unaweza kuliuza but sio kwa bei hyo unless otherwise umekutana na mtu asiye na ufahamu wa magari
- Shusha bei ifike hadi mil.6, nakueleza ukweli tu wala sijadharau gati yako ila ukweli ni kuwa gari za Nissan imiongozwa na Extrail kwa sasa hazina thamani
Wanunuzi wapo ila muuzaji anapewa elimu kwanza, unapouza gari kama hili kubali tu kuuza kwa hasara uachane nalo, soko lake siyo kubwa, Wabongo wana ugonjwa wa Toyota.Mmmh!kwa staili hii kweli kuna mnunuzi hapa?
Asipokuelewa wewe basi tena sikio la kufa.namba BTD ni usajili wa mwaka 2012,tafsiri yake ushaitumia si chini ya miaka mitano!
Ushauri;
- Extrail ni moja ya magari yaliyopoteza sana thamani kwa miaka ya karibuni kutokana na matatizo yaliyokuwa nayo(kuchemsha).
- sasa ivi ukiagiza kwa gari kama hyo yako yenye km's kama hizo basi bei yake haitazidi mil.10 yaani ni kama hyo unayotaka kuuza.
- Unaweza kuliuza but sio kwa bei hyo unless otherwise umekutana na mtu asiye na ufahamu wa magari
- Shusha bei ifike hadi mil.6, nakueleza ukweli tu wala sijadharau gati yako ila ukweli ni kuwa gari za Nissan imiongozwa na Extrail kwa sasa hazina thamani
Duh asante sana kwa taharifa kwan umenisaidia sana, yani nilikuwa najipanga one day yes nije nihiagize from Japan lkn kwa maelezo haya kweli migari ya type hii kwangu tena marufuku nitaendesha Toyota tunamba BTD ni usajili wa mwaka 2012,tafsiri yake ushaitumia si chini ya miaka mitano!
Ushauri;
- Extrail ni moja ya magari yaliyopoteza sana thamani kwa miaka ya karibuni kutokana na matatizo yaliyokuwa nayo(kuchemsha).
- sasa ivi ukiagiza kwa gari kama hyo yako yenye km's kama hizo basi bei yake haitazidi mil.10 yaani ni kama hyo unayotaka kuuza.
- Unaweza kuliuza but sio kwa bei hyo unless otherwise umekutana na mtu asiye na ufahamu wa magari
- Shusha bei ifike hadi mil.6, nakueleza ukweli tu wala sijadharau gati yako ila ukweli ni kuwa gari za Nissan imiongozwa na Extrail kwa sasa hazina thamani
Ni kweli kabisa NISSAN EXTRAIL ni magari yamepoteza ushawishi.Nina rafiki yangu ameuza yake namba BNE kwa sh.7m na yenyewe majanga hadi leonamba BTD ni usajili wa mwaka 2012,tafsiri yake ushaitumia si chini ya miaka mitano!
Ushauri;
- Extrail ni moja ya magari yaliyopoteza sana thamani kwa miaka ya karibuni kutokana na matatizo yaliyokuwa nayo(kuchemsha).
- sasa ivi ukiagiza kwa gari kama hyo yako yenye km's kama hizo basi bei yake haitazidi mil.10 yaani ni kama hyo unayotaka kuuza.
- Unaweza kuliuza but sio kwa bei hyo unless otherwise umekutana na mtu asiye na ufahamu wa magari
- Shusha bei ifike hadi mil.6, nakueleza ukweli tu wala sijadharau gati yako ila ukweli ni kuwa gari za Nissan imiongozwa na Extrail kwa sasa hazina thamani