Nauza nano liquid screen protector

Nauza nano liquid screen protector

Martin Kemosabe

Senior Member
Joined
Jan 28, 2020
Posts
168
Reaction score
78
Nauza nano liquid screen protector

Bei: 200,000

Mahali ilipo: Ubungo/Kibo (dar es salam)

Accesories zake ndani kuna:
1. Power bank
2. Liquid zenyewe vipo vichupa 6 (bei ya kimoja kikiisha ni 50,000)
3. Wipes
4. Gloves.
5. Taa mbili (USB lights)

Hizi mashine zipo ndani ya Brief case kwa ndani utazikuta mashine MBILI, maana yake ni kwamba utaweza kupokea wateja wawili kwa wakati mmoja Kwa laki mbili nitakupa mashine mbili ndani ya Briefcase ukafanye kazi unapojua wewe.

cb9177698179928e548d602ba8014b4bfa2ed109.jpeg
cde7e68afc93b10f5f14e45f1795d744ebeae8b5.jpeg


Lakini pia mimi mwenyewe nafanya DELIVERY ya kuja popote kukuwekea liquid protector kwa gharama ya sh.20,000 tu nitakufata popote ndani ya Dar,karibu nifate PM uniambie ulipo kisha mimi nitakufata ulipo nyumbani kwako kuja kukuwekea liquid protector.

Mawasiliano: Karibuni PM kwa mtakaohitaji hii mashine na kwa wateja mtakaohitaji nije kuwawekea protector popote mlipo ndani ya DAR.
 
hapana mkuu,TV umeenda mbali sana hii hata Tablet huwezi wala simu yenye upana wa zaidi ya inch 5 hii ni kwa ajili ya simu zinazoenea tu ndani ya hako kamashine.,
Ook kumbe, nilijua hata kwenye upande wa TV ingewezekana. Basi nikutakie majukumu mema kiongozi.
 
Mkuu embu nionyeshe mojawapo ya simu iliyowekwa protector na hizo mashine labda pengine nikavutika mkuu. Martin Kemosabe,

Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi ona tofauti mkuu,ni invisible

61w4W7dOdKL._AC_SX679_.jpg


ukiwekewa simu ambayo imewekewa huwezi gundua kama imewekwa,utahisi simu haina protector tu wateja wengi ukishamuekea anaanza kukuuliza mbona sioni? unamwambia hapo ndio tayari ila kiukweli wanaondokaga kwa shingo upande tu lakini sio kwamba wanaridhika na kuamini,kwanza wengi hawaelewi hata maana ya neno "invisible".
 
Kila kichupa kimoja cha NANO unapaka kwa simu ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
kichupa kimoja kinaenda hata simu 50-70 (hata na kuendelea) maana wakati wakupaka unadondoshea matone ma 3 tu kisha unapakaza,simu zenye screen ndogo kama samsung s2 unaweza dondoshea matone mawili tu kisha ukapakaza kioo chote,kwa ufupi kichupa kimoja hakiwezi kuacha kukupa zaidi ya laki 2,labda uwe unamwagia ile liquid na sio unadondoshea matone.(na huo utakua utumiaji mbaya wa liquid)
 
Je inazuia nini? Mipasuko,scratches ama nini ?
100% scratches kama utapata mtu ataekuwekea kitaalamu na ufundi akapaka liquid vizuri na akaweka simu ndani ya mashine vizuri kabisa.Kuhusu kupasuka hii haina Guarantee ni kama protector za kawaida tu maana hata protector za kawaida nazo ukiweka simu ikidondoka inaweza pasuka vile vile,nahii nayo ni hivyo.
 
100% scratches kama utapata mtu ataekuwekea kitaalamu na ufundi akapaka liquid vizuri na akaweka simu ndani ya mashine vizuri kabisa.Kuhusu kupasuka hii haina Guarantee ni kama protector za kawaida tu maana hata protector za kawaida nazo ukiweka simu ikidondoka inaweza pasuka vile vile,nahii nayo ni hivyo.
ok mtaalamu ipi faida ya hii liquid kuzidi glass protector ?
 
ok mtaalamu ipi faida ya hii liquid kuzidi glass protector ?
Faida kwangu mimi naona ni kukiweka kioo chako ktk hali ya upya na kufanya simu iwe smooth kwenye kioo maana inakua kama haijawekwa protector,na liquid inateleza sana kwahyo ukiweka kioo cha simu yako kitazidi kuwa smooth na kitakuvutia hata wewe mtumiaji wa simu husika,

lakini pia liquid haichakai tofauti naprotector za kawaida ambazo zinachakaa baada ya mwezi utaona simu imeingia mikwaruzo,simu mpya/gharama/nzuri ila protector ina mikwaruzo (haivutii),mwisho pia tusisahau liquid ina protect kioo na kuvunjika kwani nayo ni protector
 
Hasara zake?
hasara yake kubwa namba 1 ni "nikikuwekea mimi na wengine kama mimi" tunaweka kwa bei sana maana kwamimi ukija nikiona unatumia simu ya zaidi ya 500k fahamu kuwa sikuwekei chini ya 30,000,hivyo hasara kubwa ni upotevu wa hela yako hayo mengine watu wanadanganyana tu.
 
hasara yake kubwa namba 1 ni "nikikuwekea mimi na wengine kama mimi" tunaweka kwa bei sana maana kwamimi ukija nikiona unatumia simu ya zaidi ya 500k fahamu kuwa sikuwekei chini ya 30,000,hivyo hasara kubwa ni upotevu wa hela yako hayo mengine watu wanadanganyana tu.
Ikiwa kichupa kimoja kinapaka simu 50
Na
Kila simu moja inapakwa kwa 30,000Tsh


Mapato kwa kila kichupa ni

50 x 30,000 = 1,500,000 Tsh


Kwa vichupa vyote 6 ni

1,500,000Tsh x 6 = 9,000,000 Tsh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa kichupa kimoja kinapaka simu 50
Na
Kila simu moja inapakwa kwa 30,000Tsh


Mapato kwa kila kichupa ni

50 x 30,000 = 1,500,000 Tsh


Kwa vichupa vyote 6 ni

1,500,000Tsh x 6 = 9,000,000 Tsh

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi ila ndio yakupasa uombe Mungu sana uwapate hao wateja 50,hii teknolojia haijakua kwahivyo bado watu hawaipapariki ila kama ukifanikisha kwa hesabu hizo zako hapo Juu basi jiandae uitwa freemason kama utapata wateja hao kwa mfululizo wa siku 30 yani mwezi 1 tu.
 
Back
Top Bottom