Martin Kemosabe
Senior Member
- Jan 28, 2020
- 168
- 78
Nauza nano liquid screen protector
Bei: 200,000
Mahali ilipo: Ubungo/Kibo (dar es salam)
Accesories zake ndani kuna:
1. Power bank
2. Liquid zenyewe vipo vichupa 6 (bei ya kimoja kikiisha ni 50,000)
3. Wipes
4. Gloves.
5. Taa mbili (USB lights)
Hizi mashine zipo ndani ya Brief case kwa ndani utazikuta mashine MBILI, maana yake ni kwamba utaweza kupokea wateja wawili kwa wakati mmoja Kwa laki mbili nitakupa mashine mbili ndani ya Briefcase ukafanye kazi unapojua wewe.
Lakini pia mimi mwenyewe nafanya DELIVERY ya kuja popote kukuwekea liquid protector kwa gharama ya sh.20,000 tu nitakufata popote ndani ya Dar,karibu nifate PM uniambie ulipo kisha mimi nitakufata ulipo nyumbani kwako kuja kukuwekea liquid protector.
Mawasiliano: Karibuni PM kwa mtakaohitaji hii mashine na kwa wateja mtakaohitaji nije kuwawekea protector popote mlipo ndani ya DAR.
Bei: 200,000
Mahali ilipo: Ubungo/Kibo (dar es salam)
Accesories zake ndani kuna:
1. Power bank
2. Liquid zenyewe vipo vichupa 6 (bei ya kimoja kikiisha ni 50,000)
3. Wipes
4. Gloves.
5. Taa mbili (USB lights)
Hizi mashine zipo ndani ya Brief case kwa ndani utazikuta mashine MBILI, maana yake ni kwamba utaweza kupokea wateja wawili kwa wakati mmoja Kwa laki mbili nitakupa mashine mbili ndani ya Briefcase ukafanye kazi unapojua wewe.
Lakini pia mimi mwenyewe nafanya DELIVERY ya kuja popote kukuwekea liquid protector kwa gharama ya sh.20,000 tu nitakufata popote ndani ya Dar,karibu nifate PM uniambie ulipo kisha mimi nitakufata ulipo nyumbani kwako kuja kukuwekea liquid protector.
Mawasiliano: Karibuni PM kwa mtakaohitaji hii mashine na kwa wateja mtakaohitaji nije kuwawekea protector popote mlipo ndani ya DAR.