Nauza mtama, alizeti na vitunguu

Nauza mtama, alizeti na vitunguu

Lang'oo

Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Habari wadau

Kwa yeyote anayejishugulisha na ununuzi wa hayo mazao ajitokeze tufanye biashara.

Vyote vipo Mpwapwa Dodoma.

Ahsanteni
 
Unavyo kiasi gani na bei inaendaje mkuu?

Taja kila kitu ili tusikuulize maswali mengi
 
Uwezo wako tu wa kununua. Bei
Mtama gunia 55,000/=
Alizeti gunia 65000/=
Vitunguu Neti 45,000/=
 
Uwezo wako tu wa kununua. Bei
Mtama gunia 55,000/=
Alizeti gunia 65000/=
Vitunguu Neti 45,000/=
Gunia la mtama linakuwa na kilo ngapi?
Na alizeti pia gunia lina kilo ngapi?
 
Kumbuka, bei hupanda kadiri miezi inavyoelekea msimu mwingine wa kilimo around Mwezi wa Pili .hizi bei ni za wakati huu wa msimu wa mavuno
 
Back
Top Bottom