MALISA92
Senior Member
- Aug 29, 2013
- 148
- 57
Hbarini wanajamvi?
Ninazo modem zenye uwezo wa 4G na hazijafungwa kwa mtandao wowote...hivyo ukiwa na modem hii utaweza kutumia mtandao wowote.
Yaani ukiwa na line ya 3G/4G utaweza kutumia modem hii. Kumbuka kuwa modem hizi hazikuwa zimefungwa (LOCKED) kwa mtandao wowote kiasi kwamba sisi ndio tukazifungua... Hapana..hizi ni Modem UNIVERSAL kabisa kwa any netwok carrier. Hapa chini ni picha yake:
Ninazo modem zenye uwezo wa 4G na hazijafungwa kwa mtandao wowote...hivyo ukiwa na modem hii utaweza kutumia mtandao wowote.
Yaani ukiwa na line ya 3G/4G utaweza kutumia modem hii. Kumbuka kuwa modem hizi hazikuwa zimefungwa (LOCKED) kwa mtandao wowote kiasi kwamba sisi ndio tukazifungua... Hapana..hizi ni Modem UNIVERSAL kabisa kwa any netwok carrier. Hapa chini ni picha yake: