Nauza modem za 4G (LTE) mitanda yoote

Nauza modem za 4G (LTE) mitanda yoote

MALISA92

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
148
Reaction score
57
Hbarini wanajamvi?
Ninazo modem zenye uwezo wa 4G na hazijafungwa kwa mtandao wowote...hivyo ukiwa na modem hii utaweza kutumia mtandao wowote.
Yaani ukiwa na line ya 3G/4G utaweza kutumia modem hii. Kumbuka kuwa modem hizi hazikuwa zimefungwa (LOCKED) kwa mtandao wowote kiasi kwamba sisi ndio tukazifungua... Hapana..hizi ni Modem UNIVERSAL kabisa kwa any netwok carrier. Hapa chini ni picha yake:
 

Attachments

  • LTE-USB-Modem-Huawei.png
    LTE-USB-Modem-Huawei.png
    41.5 KB · Views: 152
Kwa mawasiliano zaidi mnaweza kunipata kwa simu 0658 02 03 61...nipo Dar es salaam naweza kukuletea ulipo kama upo Dar.
 
Niambie na mm bei sh ngap
 
Mkuu hiyo bila shaka ni ya 3G...na imekuwa locked kwa mtandao mmoja tofauti na hii ambayo haijafungwa na matandao wowote.
Fungu hii link uone bei ya TIGO ambapo hiyo ya Tigo ni special kwa TIGO tuu E3372 4G Modem for sale | Tigo Tanzania
haya kaka ngoja ni ishie hapahapa nisije nikaonekana na haribu biashara yako ila ni nzur m ninayo na natumia lain tano pamoja na MTN ya zambia
 
Back
Top Bottom