Nauza mikoba ya kina dada

Nauza mikoba ya kina dada

Please! please! please! hii namba yako ya simu naruhusiwa kuitumia kwa mambo mengine, yale mambo yetu yale?[emoji30]
Unaruhusiwa kuitumia kwa biashar tu [emoji18] [emoji18]
 
Habarin wapendwa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza mikoba ya kina Dada wadada wa jf na wakaka wa jf njooni muwanunulie mawifi zangu mikoba.
Mikoba mizuri kutoka south africa jamani imebaki michache mwanamke mkoba jamani simwajua tuna mambo mengi tukitoka ya kuweka humo kwenye mikoba sas ikiwa huna inakuwaje jamani .
Ni bei rahisi jamn halafu ni mizuri yaani ukiuchukua kila mtu atataka umuelekeze duka ulilonunua jiwahie imebaki michache karibuni sana kwa mwenye kuhitaji anichek wasap kwa namb +27 60 37 25 56 7
KARIBUNI SANA DADA UKHUTY
Mtandao wa JF si wa kutangaza vitu vichache. Umeahindwa kuwatangazia majirani wamalizie
 
Back
Top Bottom