Limefanyiwa utafiti wa kujua kama hiyo copper ore ipo kiasi gani(makaridio). Nikikulipa dola laki mbili ninauhakika gani copper ore iliyopo nitaweza pata faida. Kuna utafiti wowote umeshawahi kufanywa katika hilo eneo?[/QUOTE
Mkuu utafiti umeshafanywa katika ilo eneo na copper ipo,ila utafiti kujua ni kiasi gani ipo ni bado,lakini kwa ufupi jirani yetu ni mwaka wa tatu sasa anachimba kwenye shimo moja.Vile vile copper inayotoka hapo ni blue copper,kuna wakati mwingine waweza toa jiwe la copper lenye rangi ya njano,kijani na blue katika jiwe moja.Pia ninakushauri kabla ujafanya maamuzi ni vyema kufika kwenye ilo eneo au waweza mtumia hata mtaalamu wa madini akaja fanya survey,hii itakuondolea wasi wasi wa kutapeliwa.Pia waweza kuuliza watu wa semic kule kunduchi watakueleza thamani na habari yote ya hii copper ya Tunduru na thamani yake kwa ujumla.