Nauza Memory Kadi Na Selfie Stick...Bei Poa...!

Nauza Memory Kadi Na Selfie Stick...Bei Poa...!

Ndani ya siku 3 mpaka 5 za kazi anakuwa kesha pata mzigo wake kutoka nje kupitia DHL....!
 
Wakuu hapo nimeandika story zipo kimtindo...kama unahitaji nicheki...! Mi nauza moja moja na si jumla ndo maana...!

Siku nyingine unapoelekezwa jambo acha kujifanya unajua na kujibu majibu yasiyo na mantiki yoyote dogo.



Hakuna anae kufosi huitaji endelea na mambo yako...! Bei na maelezo ndo hayo...!

Hata kama unauza reja lakini bado bei ni kubwa kwa sababu yupo mtu hapa ka-comment kuwa 8GB kanunua kwa 10thou, sasa compare na bei yako. Mi 16GB nilinunua kwa 20000 jamaa kanipunguzia elf 2 coz ni mteja wake na yupo humu humu JF sio.

Sasa unaelekezwa unaleta majibu unayoyajua wewe biashara haiendi mdogo wangu utakuwa unafeli ukienda hivyo.

This is JF. Welcome.

[emoji120]
 
Ntakie radhi kioo wewe ni mdogo kwangu...tafadhali...!!
 
Ntakie radhi kioo wewe ni mdogo kwangu...tafadhali...!!

Inawezekana ikawa hivyo.

Lakini kipimo cha ukubwa ni busara na kauli kwa watu mkuu.

Ila kama umenizidi nisamehe bure kiongozi. Nimeteleza tu kama binadam sio.

[emoji120]
 
Jamani, kabla ya kuweka vitu hapa muwe mnajaribu ku-search angalau.

Yupo member humu anauza 16GB kwa 22000 tu. Anakuletea ulipo kwa Dar.

Nilinunua mwaka juzi 2014 Nov mpaka leo inapiga kazi haijasumbua bado iko poa kabisa.

Aisee naomba contacts za huyu bwana, tafadhali.
 
Memory Card ya GB 4 - Tsh. 10,000 ya Gb 8 Tsh. 25,000 na Gb 16 - Tsh. 35,000
Selfie Stick - Tsh. 30,000 (story zipo kimtindo).

CONTACTS:
Mobile: 0655-659-115, 0624132227
Whatsapp: 0769-663-092

Hiyo fimbo ya Selfie ikoje wajameni? Weka picha mkuu.
 
Memory Card ya GB 4 - Tsh. 10,000 ya Gb 8 Tsh. 25,000 na Gb 16 - Tsh. 35,000
Selfie Stick - Tsh. 30,000 (story zipo kimtindo).

CONTACTS:
Mobile: 0655-659-115, 0624132227
Whatsapp: 0769-663-092

1b265c8721c141a531859e9f5ddb0ae5.jpg
 
Hiyo bei yako ni ya kuuzia watu wa kigoma.sio dar
 
mkuu mm natafuta SD CARD class 10 yenye ujazo wa 16GB
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom