Nauza mbuzi

Nauza mbuzi

Masangutu

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
814
Reaction score
651
Habari zenu wakuu nauza mbuzi wakienyeji kwa matumizi ya nyama au kufuga wapo mbuzi 30,bei inaanzia tsh.70000 hadi laki moja.nipo singida pia naweza kusafirisha hadi mkoa mwingine.kama upo tayari njoo inbox tufanye biashara.ahsante
 
Weka picha mkuu mi hapa ddm nanunua kwa 40-50 wazuri tu,labda wako ni wakubwa sana
 
Weka picha mkuu mi hapa ddm nanunua kwa 40-50 wazuri tu,labda wako ni wakubwa sana

Wake wana Hips,na hawatumii facebook kama wako ambao wamekonda macho kwakukesha na kuchat.
Mbuzi wengi wa dodoma ni vipofu,hawajui hata kukonyeza,nyama yao ngumm kwa ukame
 
Wake wana Hips,na hawatumii facebook kama wako ambao wamekonda macho kwakukesha na kuchat.
Mbuzi wengi wa dodoma ni vipofu,hawajui hata kukonyeza,nyama yao ngumm kwa ukame

Hahahahaha aisee....
 
Back
Top Bottom