INAUZWA Nauza mbuzi na kondoo

INAUZWA Nauza mbuzi na kondoo

Yaani biashara ya mtandaoni bila hata picha za bidhaa na huduma unazotoa?
Mtu ataamini vipi sasa mkuu angalau kwa kuona unachotoa?
Tangazo halijakamilika mkuu
 
Nje ya mada:

Kwa nini mabucha ya nyama ya mbuzi ni adimu tofauti na ng'ombe?

NB:Sidhani kama ni issue ya wateja sababu huko kwenye baa ndiyo kitoweo pendwa!!
 
Back
Top Bottom