Nauza mayai ya kware pamoja na vifaranga vya kware

Nauza mayai ya kware pamoja na vifaranga vya kware

bei maelewano mkuu, inategemea na idadi unayohitaji.
 
Habari zenu wana jukwaa. Napenda kuwapa taarifa kwa wale wanaohitaji vifaanga vya kware kwa sasa vinapaikana muda wote kwa bei nafuu sana, na mayai pia yanapatikana muda wote.
kwa mawasiliano tumia namba hii 0789411114
 
Habari zenu wana jukwaa. Napenda kuwapa taarifa kwa wale wanaohitaji vifaanga vya kware kwa sasa vinapaikana muda wote kwa bei nafuu sana, na mayai pia yanapatikana muda wote.
kwa mawasiliano tumia namba hii 0789411114

Nahotaji kware kumi wa wiki angalau tatu, sh ngapi?
 
utapata mkuu,
kwa vifaranga vya wiki tatu ni sh. 4,000 kila kija, ila kama unahiaji zaidi ya 100 bei inakuwa ni sh 3,500.
kama upo taari nipigie, hatuwezi kushindwana.. 0789411114
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom