Chui mnyama
Member
- Apr 2, 2017
- 69
- 34
Huo uchuro SasaHabari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0716768545. Karibuni sana.View attachment 1585348
Wewe unapajua???peleka wanakoyauza hao wanaonunua.
kwani wewe hutaki milioni 100?
Poa mkuuJaribu kurusha wembe ukinasa rudi hapa tuongee.
Huwa yana kazi gani?
Mkuu nimefuata taratibu zote za kimila maana ninauzoefu. Kuanzia kuyatoa kwenye kiota mpaka kuyatunzakabla sijafika bei niambie namna unavyo yatunza japo kwa siku3 mfululizo
Hizi sio nyara za serikali kweliHabari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane in box. Karibuni sana.View attachment 1585348