Nauza Mashuka ya mtumba toka Oman

Nauza Mashuka ya mtumba toka Oman

Punguza munkari, you should learn costomer behaviour ukiona mtu anazingua mpotezee ila kitendo cha kuanza kijibizana nae inaweza kumtisha hata yule potential customer, mteja ni mfalme hakuna mfanyabiashara yeyote duniani anaweza kutumia lugha ngumu kwa wateja kama unavyofanya wewe, huu ni ushauri tu nisamehe kama hauta kufurahisha.
Wateja wanafanana na wewe, na nisiuze kwani ni Mara ya kwanza? After all haya kuhusu kuwa nitauza.
 
Punguza munkari, you should learn costomer behaviour ukiona mtu anazingua mpotezee ila kitendo cha kuanza kijibizana nae inaweza kumtisha hata yule potential customer, mteja ni mfalme hakuna mfanyabiashara yeyote duniani anaweza kutumia lugha ngumu kwa wateja kama unavyofanya wewe, huu ni ushauri tu nisamehe kama hauta kufurahisha.

Nilimwandikia mwanzoni mwa uzi
Kunyamaza ni jibu la mjinga!

Jf ina watu wa kila namna!
 
tatizo lako una chuki na uislam.
Cha ajabu uislam Hauna habari na wewe
Chuki na Uislam??? Ukimaanisha mm mkristo eti?


I'm deist, free thinker. I dont believe in those organized religions, that means I dont give a damn about islam o christianity.
You all go to hell someday.
 
tuliza panic mr.Biznezman,jifunze kuvumilia tabia za wateja....jibu swali langu kwa nini ninunue mtumba wa mwarabu na kuacha mtumba wa mzungu? nishawishi that is how biznez is.
Mkuu unamuuliza maswali heavyweight wakati unajua huyo ni lighweight...lengo lako ummalize kibiashara kabisa ama?

Ila haimake Sense kabisa yani wakati mitumba ya wazungu inapigwa vita......hawa wanaleta mitumba ya waarabu coco??

Like seriously, kama wa mzungu unapigwa vita wa waarabu utafanywa nn
 
Mwanaume unapoamua kwa maksudi kutaka kuharibu biashara ya mwanamke aliyeamua kujitafutia kihalali inafanya sisi wanaume halisi tushindwe kukuelewa wew ni mwanaume wa aina gani aisee. Inaudhi sana na ni utoto unaoufanya.
Huwez kununua pita kmya kimya wengine watanunua sio kutia nuksi, badilika
We ndo unaijambia biashara yake sasa kwa kutema pumba.

Kama unasema mm naharibu basi wadau wengi wameharibu pia maana anaulizwa maswali anapanic anaambiwa atoe sababu nzuri kwanini mtu anunue mtumba wenye kijambo cha mwarabu badala ya Mzungu anakuja juu.

Tena swali obvious sana ilo.
Then u blame me? For what??
 
Mkuu unamuuliza maswali heavyweight wakati unajua huyo ni lighweight...lengo lako ummalize kibiashara kabisa ama?

Ila haimake Sense kabisa yani wakati mitumba ya wazungu inapigwa vita......hawa wanaleta mitumba ya waarabu coco??

Like seriously, kama wa mzungu unapigwa vita wa waarabu utafanywa nn
😁😁😁 mtumba wa Kiarabu sijui unakuaje daah,nataka nikauone
 
We ndo unaijambia biashara yake sasa kwa kutema pumba.

Kama unasema mm naharibu basi wadau wengi wameharibu pia maana anaulizwa maswali anapanic anaambiwa atoe sababu nzuri kwanini mtu anunue mtumba wenye kijambo cha mwarabu badala ya Mzungu anakuja juu.

Tena swali obvious sana ilo.
Then u blame me? For what??
Sio kweli...comment yako ya kwanza kabisa umeanza kwa kutoa shit! Mambo ya kijambo cha kiarabu mara mtumba kutoka kwa waarabu coco...yote ayo ya nin....mteja wa kweli anauliza bei na matirio tu...ayo mengine ni upuuzi tu unakusumbua
 
Sio kweli...comment yako ya kwanza kabisa umeanza kwa kutoa shit! Mambo ya kijambo cha kiarabu mara mtumba kutoka kwa waarabu coco...yote ayo ya nin....mteja wa kweli anauliza bei na matirio tu...ayo mengine ni upuuzi tu unakusumbua
K
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom