Salamu zenu Wote,
Nauza mafuta ya Alizeti Halisi bei ni kama ifutavyo:-
Galoni 4 za lita 5(katoni) bei ni Tsh 60,000/-
Galoni 6 za lita 3(katoni) bei ni Tsh 60,000/-
Ndoo moja ya lita 10 bei ni Tsh 30,000/-
Mzigo upo wa kutosha, mafuta ni mazuri sana.
Anaehitaji ani PM au tuwasiliane kwa namba hii 0718 177 778
.
Asanteni.