Nauza Mabata (Dume)

Mr Spider

JF-Expert Member
Feb 28, 2020
1,402
2,507
Habari zenu wakuu,

Nauza mabata dume ni makubwa na yanafaa kwa kula na mbegu pia. Karibuni mabata haya yanafugiwa Dar es Salaam.
 
Ni bata wa kawaida, kesho nitakuwekea picha mkuu. Bei ni 30000
 
Unajuwa hili ni soko kubwa. Unapotangaza au kutowa taarifa ya biashara yako basi kuwa muwazi kidogo.
Bata wa aina gani?
Picha
Kiwango unachoweza ku supply
Eneo,...
 
Unajuwa hili ni soko kubwa. Unapotangaza au kutowa taarifa ya biashara yako basi kuwa muwazi kidogo.
Bata wa aina gani?
Picha
Kiwango unachoweza ku supply
Eneo,...
Mbona Mwenye Tangazo Kaenda Moja Kwa Moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom