Nauza led Tv 32 na simu aina ya Tecno Camon x.

Nauza led Tv 32 na simu aina ya Tecno Camon x.

if cap fits

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
1,477
Reaction score
2,085
kwa anaehitaj,ninauza led tv aina ya aborder 32 ,ni full hd ina kioo cha protector ipo na hali nzuri sana kwani ninaitumia mwenyewe,pia nina simu aina ya Tecno Camon X ni mpya na ni nzuri kwa anae fuatilia simu anazijua.nina list zake zote kwa anae hitaji tuwasiliane 0678458422.bei maelewano.
 
mimi siyo mfanya biashara,na ninauza kwa sababu zilizo nije ya uwezo wangu,hivyo mwenyehitaji nimesema anicheki na wala sihitaji coment zisizo na ulazima kama ningekuwa mfanya biashara ningeandaa mazingira ya kibiashara zaidi ,kama hamna mwenye uhitaji si kesi pia.mana maduka watu munayajua
 
mimi siyo mfanya biashara,na ninauza kwa sababu zilizo nije ya uwezo wangu,hivyo mwenyehitaji nimesema anicheki na wala sihitaji coment zisizo na ulazima kama ningekuwa mfanya biashara ningeandaa mazingira ya kibiashara zaidi ,kama hamna mwenye uhitaji si kesi pia.mana maduka watu munayajua
Acha kutisha watu,wewe unashida ndio maana umeleta tangazo.
Kuwa mpole,leta picha

Acha janja janja
 
Acha kutisha watu,wewe unashida ndio maana umeleta tangazo.
Kuwa mpole,leta picha

Acha janja janja
wazee mm si mtaalam sana kwa mambo haya lakin tv yenyewe ndo hiyo i kwa aliye serious tutaongea
IMG_20180914_155055_7.jpg
IMG_20180914_153416_0.jpg
IMG_20180914_153431_0.jpg
 
kwa anaehitaj,ninauza led tv aina ya aborder 32 ,ni full hd ina kioo cha protector ipo na hali nzuri sana kwani ninaitumia mwenyewe,pia nina simu aina ya Tecno Camon X ni mpya na ni nzuri kwa anae fuatilia simu anazijua.nina list zake zote kwa anae hitaji tuwasiliane 0678458422.bei maelewano.
we ni askari police nn (aborder tecno)
 
Back
Top Bottom