Kidume cha mbegu
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 1,251
- 710
Nauza laptop aina ya HP kiasi cha 100,000/-tuu, iko vizuri tuu japo inatatizo ndogo tuu yani imezima na baadhi ya batani hazifanyi kazi, Ipo mbeya mjini maeneo ya Soweto, aliye tayari aniPM
Asanteni
Asanteni