Nauza Laptop HP

Nauza Laptop HP

cocochanel una tabia za kimasikini na roho mbaya unajisifu kumiliki laptop na kudharau anachouza mtu mwingine ambae yeye hata umjui...
 
Kwa vitabia vyenu hivi eeeeeeh

Ndio maana mnasoma nkimaliza mnatoka vifuu vya nazi.. yaani mna shida..

Mjibadili na wewe utakuwa kama yeye wote hamjui hata kutangaza mnachouza.. bure kabisa bora mkajifunze kwa ambao hawakusoma kufika mlipo
Let The Law Of Karma Take Care Of You.
 
cocochanel una tabia za kimasikini na roho mbaya unajisifu kumiliki laptop na kudharau anachouza mtu mwingine ambae yeye hata umjui...
Namuonaga Sana Kwenye Majukwaa Ya Siasa Na Mengine Jinsi Ni Mtu Wa Upeo Ghani Wa Kufikiri Na Kuchambua Matukio

Tumsamehe, Huenda Ndio Akili Yake Ipo Ukingoni, Sasa Tukitumia Nguvu Nyingi Dhidi Yake Ni Upuuzi.
 
Laptop hiyo ni toleo la zamani tangu enzi za windows vista kwa hizo specifications kama kweli ulinunua 500k miaka 2 iliyopita basi ulipigwa. Ninayo kama hii nilinunua mtumba k/koo kwa 250k.
 
Laptop hiyo ni toleo la zamani tangu enzi za windows vista kwa hizo specifications kama kweli ulinunua 500k miaka 2 iliyopita basi ulipigwa. Ninayo kama hii nilinunua mtumba k/koo kwa 250k.
Kama Ni Mtumba Sikatai Hiyo Bei Yako.
Mimi Naliandika Bei Yake Ya Dukani Ikiwa Mpya.

PS : Read Between The Lines
 
Kama Ni Mtumba Sikatai Hiyo Bei Yako.
Mimi Naliandika Bei Yake Ya Dukani Ikiwa Mpya.

PS : Read Between The Lines
Dukani haiuzwi hiyo bei hizo ni toleo la zaidi ya miaka 13 iliyopita na kama ulinunua hiyo bei ulipigwa.
 
Dukani haiuzwi hiyo bei hizo ni toleo la zaidi ya miaka 13 iliyopita na kama ulinunua hiyo bei ulipigwa.
Naomba Unitajie Bei Yake Mpya Dukani.
 
Bhado Sijakuelewa Lengo Lako Haswa
Wewe Ni Mnunuzi Au Mchunguzi? Tuanzie Hapo Kwanza.
H[emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hizi ndizo kauli za wafanyabiashara wa kibongo, ukiuliza sana ni kosa kubwa
 
Naomba Unitajie Bei Yake Mpya Dukani.
Mara ya mwisho 2016, 350,000. Amazon na Ebay zipo mpaka $80-$120
Kwanza kabisa hii ni tayari ni retired product kwa maana hakuna tena product za hp ikiwa na brand ya hewlett packard ambazo ziliishia 2015 kwa sasa ni hp inc. Na kama ulinunua ukakuta window 8 huo ni mtumba pure hizi zilikuwa zinakuja na windows xp au windows vista.
 
Mara ya mwisho 2016, 350,000. Amazon na Ebay zipo mpaka $80-$120
Kwanza kabisa hii ni tayari ni retired product kwa maana hakuna tena product za hp ikiwa na brand ya hewlett packard ambazo ziliishia 2015 kwa sasa ni hp inc. Na kama ulinunua ukakuta window 8 huo ni mtumba pure hizi zilikuwa zinakuja na windows xp au windows vista.
Windows 8 Nime Install Mkuu Sio Ilikuwepo Tangu Mpya.

By The Way, Nimekuelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom