NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,848
- 2,557
Mkuu we si ulitenga Laki mbili ili upate na godolo lisilo na kunguni.km ukipenda nitafute 0742989953 Nina laki na nusu
usipopenda bx
Mkuu we si ulitenga Laki mbili ili upate na godolo lisilo na kunguni.km ukipenda nitafute 0742989953 Nina laki na nusu
usipopenda bx
Hii chai ni ya moto na imetiwa pilipiliNilinunua 500,000Tsh Ikiwa Mpya Dukani.
Mwaka Jana, Mwezi Wa Pili, Kariakoo.
Habari Wakuu!
Nauza PC Bhado Mpya Ninahitaji Hela Ya Haraka Nimepata Dharura.
RAM 2GB
Hard Disk 150GB
Windows Installed 8
Processor 1.8GHz
Location = Sinza
Contact = 0622543431
Price 270,000 TSh. / Negotiable.
Lakini mkuu hiyo PC sio ya 500k...Alafu sio mpya ni mtumba...hyo stiker ya windows xp na model ya hiyo PC inaonyesha kabisa sio mpya...Pia uwezo wake mdogo sana kuwa mpole tu usikilize offer za WananchiNashukuru Sana For Your Concern Mkuu!
Kama Nilivyo Sema Awali Nimenunua 500k
Then Haina Tatizo Lolote Lile Kuuza Kwa Hiyo Bei Ni Ukichaa.
Ahsante Mkuu!
Kama Upo Serious Pandisha Kiasi Tuweke Mambo Sawa.
Bhado Sijakuelewa Lengo Lako HaswaMmmmmmh
Unanunu wewe bei ya mwanzo si utaijua wewe..
Yaani mimi old skuli laptop yangu ina miaka 6/7 ina 500gb.. RAM8gb na ipo haitumiki bali ipo bombaaaa.. beinaikumbuka sababu ilikuwa mmmmh
Sasa eti nikusaidie kupandisha..
Sasa onyesha risiti... eeeeh
Bhado Sijakuelewa Lengo Lako Haswa
Wewe Ni Mnunuzi Au Mchunguzi? Tuanzie Hapo Kwanza.
Mimi Ni Mwanachuo, Sio Dalali Wala Mdokozi.Utakuwa umeidokoa au ni dalali na pia hauimiliki kihalali na hujawahi.
Mimi Ni Mwanachuo, Sio Dalali Wala Mdokozi.
Now I Understand Your True Colors
You're Here To Distort And Dismantle My Thread. Go On Dear!
Life Has So Many Funny Ways To Prove Us Wrong.
Enjoy Your Day.
Shida una roho ya korosho haitakusaidia waache wanafunzi wauziane laptop kama hukupita huko usilazimishe kupita sasa hivi unasumbuka tuu bure...kujifanya mjuaji laptop wewe uwe nayo usiwe nayo hayo yanamsaidia nini muuzaji...Utakuwa umeidokoa au ni dalali na pia hauimiliki kihalali na hujawahi.
Nashukuru Mkuu Kwa Kumchana Mubushara Huyu Bibie.Shida una roho ya korosho haitakusaidia waache wanafunzi wauziane laptop kama hukupita huko usilazimishe kupita sasa hivi unasumbuka tuu bure...kujifanya mjuaji laptop wewe uwe nayo usiwe nayo hayo yanamsaidia nini muuzaji...
Uza Mali yako ikusaidie kutatua shida yako...Nashukuru Mkuu Kwa Kumchana Mubushara Huyu Bibie.
Bahati Mbaya Au Nzuri Sijui Kumjibu Mtu Wa Aina Yake Kwa Kumdhalilisha.
Shida una roho ya korosho haitakusaidia waache wanafunzi wauziane laptop kama hukupita huko usilazimishe kupita sasa hivi unasumbuka tuu bure...kujifanya mjuaji laptop wewe uwe nayo usiwe nayo hayo yanamsaidia nini muuzaji...