- Thread starter
- #21
aisee kunak uchi mmoja hapo naona anafanana na WEMA
Mbona kuku kuchi wanakuwa na bei kubwa kuliko hio70,000 wanamzidi Ngombe.
Kifaranga cha kuku ainaya kuchi indian version Tsh 50,000.
Angalia picha za vifaranga vikubwa bei Tsh 200,000 kwa mmoja.
Picha za wakubwa bei kubwa zaid, but kwa fahari ya macho naweka moja tu