Nauza Kuku jamii ya Kuchi

Nauza Kuku jamii ya Kuchi

Huwa nawapenda sana kuchi nilijaribu kuwafuga tatizo majogoo yanapenda kupigana na huwa hawakubali kushindwa. Uzuri wake ni kwamba wana manyoya machache na uzito mkubwa. Hivi sasa nimebahatika kupata mbegu ya kienyeji wenye maumbo makubwa na uzito mkubwa ila sijajua wanaitwaje. Natupia picha kama kuna mdau anajua aniambie maana nimeshindwa kujua nia aina gani.
 

Attachments

  • IMG_20150919_151418.jpg
    IMG_20150919_151418.jpg
    353.5 KB · Views: 115
  • IMG_20150919_152020.jpg
    IMG_20150919_152020.jpg
    281.5 KB · Views: 96
  • IMG_20151126_210246 - Copy.jpg
    IMG_20151126_210246 - Copy.jpg
    235.3 KB · Views: 85
Sawa mkuu. Ukiingiza sokon unijulishe bas ni sh.ngap?
 
Mbona kuku kuchi wanakuwa na bei kubwa kuliko hio70,000 wanamzidi Ngombe.
Kifaranga cha kuku ainaya kuchi indian version Tsh 50,000.
Angalia picha za vifaranga vikubwa bei Tsh 200,000 kwa mmoja.
Picha za wakubwa bei kubwa zaid, but kwa fahari ya macho naweka moja tu

Kaka nimekuwhatsapp naona kimya
 
Back
Top Bottom