Nauza kiwanja milioni 1.5

Nauza kiwanja milioni 1.5

Joined
Mar 16, 2014
Posts
25
Reaction score
3
Nina kiwanja karibu kabisa na lami na kituo cha daladala,kwenye barabara ya chanika-Mvuti,ni high density(hakijapimwa),tambalale na karibu na makazi ya watu,nyumba ya vyumba vitatu inasimama bila matatizo,barabara mpaka uwanjani,unaweza fika hapo kwa kupitia njia ya gongo la mboto mpaka chanika,au mbagara mwisho mpaka mvuti,unapita uwanja wa bakhresa.
mawasiliano: 0656 33 50 33/ 0687 97 87 51
 

Attachments

  • 011.JPG
    011.JPG
    971.5 KB · Views: 317
Mkuu nimeona pale anasema (hakijapimwa).!! ??


Mie nilifikiri ni ule upimaji wa Kisheria! (na kuwekwa beacon za Serikali)

Nachotaka kujua ni urefu wa kiwanja hata kwa kupima hatua tu pamoja na upana wake.

Isije ijawa ni hatua kumi kwa kumi na tano! Hahahaa
 
mkuu kuna umbali wa kutosha kutoka barabarani

Diwani chek this
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom