Nauza kitabu cha uchawi

Nauza kitabu cha uchawi

Mbona mmefukua makaburi aisee. Halaf ni kuku wageni nyie inaonesha mme-search google weee uchawi uchawi mkaangukia JF mkaona mjiunge kabisa.

Karibuni sana.
😀
 
Imam Ghazali kaandika vitabu zaidi ya kimoja.

Nadhani hapa unaongolea kitabu kiitwacho "Shams Al Maarifa".

Kama ni hicho basi huo si uchawi na ni maarifa na Ilmu tu.

Kama ni hicho mbona vipo madukani.

Unless uwe unaongelea kingine. Weka jina la kitabu.
Mleta uz cdhan hta ka anaweza kukisoma kitabu hiki sabb ..kitabu hiki sio cha uchaw wala hakifundsh uchaw isipokuwa kimegusia na kuwaelimisha watu juu ya ukafir huu ...ila jins alivowasilisha ameonesha anauza kitabu watu wajifunze uchaw
Bora kufa maskini kuliko kumsaliti Maulana
 
habari wanajf nauza origino copy ya kitabu cha uchawi,black magic chenye elimu mbalimbali juu ya uchawi,matambiko,mazindiko na mahirizi,na nyota kimeandikwa na imam alghazliyyi....kwa aliye interested anipm.........thanks in advance
Kwa lugha gani kimeandikwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom