Upo wp? Mm nahitaji ila kiwe kinaonyesha local channel.
Nitakutafta saa 10Kama unataka na antena nipe 40000 peke yake 30000 top
Kwamba Europa League live on Startimes??
Kina matatizo gani?Habari wadau
Watu wanasema kimfaacho mtu chake nipo vibaya kifedha kiasi cha kukosa pesa kabisa nauza king'amuzi changu cha startimes na rimote yake bei 30000 tu pata chanel za bure kama zote
Zaidi 0786430793 nipo chanika