Nauza IST 12.5M

Nauza IST 12.5M

lete 9M nakuletea IST mpaka getini kwako...hiyo bei umeweka faida kubwa sana mzee shuka uko juu sana
Kuna kitu tunashindwa kukielewa.
Wewe ukiileta hiyo gari kwa hiyo 9Mil utaiuza kwa Tshs ngapi? Labda tuseme utataka faida ya 1.5Mil, so utauza kwa 10.5Mil minimum.
Haya, watanzania tuna kawaida ya kulia bei, katika hiyo 10.5Mil utangaze bei bei gani kianzio ili mteja akiomba punguzo bei irudi kwenye hiyo 10.5Mil??
Na hapo hiyo 9Mil inaweza kua umeitaja tu, but pengine labda likaku-cost zaid mpaka 10Mil.
 
Kuna kitu tunashindwa kukielewa.
Wewe ukiileta hiyo gari kwa hiyo 9Mil utaiuza kwa Tshs ngapi? Labda tuseme utataka faida ya 1.5Mil, so utauza kwa 10.5Mil minimum.
Haya, watanzania tuna kawaida ya kulia bei, katika hiyo 10.5Mil utangaze bei bei gani kianzio ili mteja akiomba punguzo bei irudi kwenye hiyo 10.5Mil??
Na hapo hiyo 9Mil inaweza kua umeitaja tu, but pengine labda likaku-cost zaid mpaka 10Mil.

Great thinker.

Pia kule tradecraview Gari zinatofautiana sana Bei. Mfano mimi niliomba niwekewe Tairi mpya na sports Rim.

Gari hapa ina comprehesive Insurance.

Bei yake lazima itakua tofauti na gari za wheelcape na Tairi za chawa.
 
Je hiyo bei ni inclusive of comprehensive insurance, road license ?
 
We unatakaje? Nipigie sasa hivi.

ha ha ha ha. Andika hapa Tufaidi wote labda kuna wakopaji wenzangu hapa. I really miss Bebii Najua lazima tungeunganisha Nguvu ungetukopea
 
Last edited by a moderator:
wamezowea befoward hao gari mpaka usd 200/=?
hivi hawa magari yao mbona yanaonekana yamechoka sana mengine yana kutu kabisa.
I like tradecarview haswa ile paytrade system, no utapeli
 
Mbona bei ndogo kwani gari yako ina matatizo gani? mpaka unaiachia bei yote hiyo?

Mkuu uko sawa, hata mie nashangaa anauza bei ndogo sana kwa IST.
Mie nna kama hiyo km 43,000, kama kuuza ingekuwa zaidi ya 12.5 m tena kwa mbali sana!
 
Mr.Mak Gari haina Tatizo huwa nina import na kuuza.[/QUOT

Mkuu, nami nimejiuliza mbona waiuza kwa bei ya kutupa?!
IST kwenye yadi za bongo sio rahisi kupata kwa hiyo bei.
Wakubwa changamkieni dili hilo!
Kila la kheri
 
Ni kweli ila ukiliagiza hilo gari, ulakipa ushuru na kilisajili, bei yake haizidi 8.5m.

Acha uongo mkuu!nipe number yako mie nikupe hiyo 8.5m halafu wewe uniagizie!haiwezekan kaka ukapata chini ya 10m mpaka kuisajili!
 
Back
Top Bottom