Nauza iPhone E 6 (16Gb) mpya

Nauza iPhone E 6 (16Gb) mpya

favoured

Member
Joined
May 5, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Wanajamii,

Nauza Iphone 6, nimepata dharura hivyo nnahitaji hela (Nimeinunua ila nimepata dharura, I need Money). Bei ya kuuza 1.6milion, Niko Dar.

Kwa mawasiliano piga 0717633724.. Tafadhali upige simu kama mnunuzi tu.

Picha yake hiyo nime-attach.
 

Attachments

  • iphone 6.jpg
    iphone 6.jpg
    783.8 KB · Views: 376
Mmmmmm mbona kama hiyo kabsa kuna duka inauzwa laki saba tu?????
 
mujukum sio vizuri kupoteza watu..kama hununui ukae kimya hamna iphone 6 hata kwa 1.5 mil popote ,asante serious buyers only to comment
 
Ume download ing box lake alafu unatuzua unauza I phone, dar kila xiku mnabuni vipya duu
 
Mpya haijafunguliwa kwa box, ina seal yake ya guarantee 2 yrs.. malezo pale juu yajitosheleza jamani ahsante aliyepiga akiiona atacomment ...
 
Hongera kaka kwa kutembea na bonge la mtaji kwa biashara za uswahilini
 
Wanajamii,

Nauza Iphone 6, nimepata dharura hivyo nnahitaji hela (Nimeinunua ila nimepata dharura, I need Money). Bei ya kuuza 1.6milion, Niko Dar.

Kwa mawasiliano piga 0717633724.. Tafadhali upige simu kama mnunuzi tu.

Picha yake hiyo nime-attach.

kama unapata dharura na huwezi ku raise hata 2m kwa haraka sasa ulinunua iphone ya gharama ya nini? watu kupenda misifa bwana.
 
Mpya haijafunguliwa kwa box, ina seal yake ya guarantee 2 yrs.. malezo pale juu yajitosheleza jamani ahsante aliyepiga akiiona atacomment ...

nyie ndo mnaouziwa sabuni badala ya simu
 
Back
Top Bottom