nauza iphone 4s brand new from uk tsh 550000

nauza iphone 4s brand new from uk tsh 550000

TCleverly

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,921
Reaction score
873
wakubwa nauza iphone 4s 64gb tsh 550,000 mpya.anaehitaji please wasiliana na mimi pm....please jiandae kabla ya kuniomba contact,simu ni mpya iko boxed na accessories zake zote......
Angalizo:nipo dar sehemu yeyote hapa dar naweza jaribu kuonana na wewe,kama upo mkoani jinsi ya kuipata hii simu ni juu yako
 
guys...simu bado ninayo....naomba usiombe contact zangu kama hujajiandaa....simu ni mpya iko ndani ya box lake na accessories zote zipo.....sio unaniomba contact then unaniambia ngoja nikajipange...jipange kwanza mimi nina uhakika na ninachokiuza kama unataka iphone 4s na hela unayo hii huwezi kuikataa......
 
guys...simu bado ninayo....naomba usiombe contact zangu kama hujajiandaa....simu ni mpya iko ndani ya box lake na accessories zote zipo.....sio unaniomba contact then unaniambia ngoja nikajipange...jipange kwanza mimi nina uhakika na ninachokiuza kama unataka iphone 4s na hela unayo hii huwezi kuikataa......
me ninaswali la kizushi tu mbona unaiuza cheap hivyo..? au ni ya kichina maana 32 GB tu ni ghali...nina 3gs..nataka ni updgrade kwa hiyo 4s vipi unaweza shusha kidogo..kama vipi ukireply naomba nitumie na namba zake za nyuma..i.e 1233..sawa kaka..
 
me ninaswali la kizushi tu mbona unaiuza cheap hivyo..? au ni ya kichina maana 32 GB tu ni ghali...nina 3gs..nataka ni updgrade kwa hiyo 4s vipi unaweza shusha kidogo..kama vipi ukireply naomba nitumie na namba zake za nyuma..i.e 1233..sawa kaka..

kaka mimi hata sijui kama tsh 550,000 ni cheap mimi ndio naona bei sawa.....halafu mimi sio mfanyabiashara sitaki kurudisha hela niliyonunulia au kupata faida[lets assume im broke,i need to renew my insurance premium].....funny thing is its cheap..... but u still bargain.......
 
Lyamber hizo namba ndo zinasaidia kujua kama ni kichinese ama original,hebu nipe maujuzi nami pia nisije ingia choo kisichostahili

me ninaswali la kizushi tu mbona unaiuza cheap hivyo..? au ni ya kichina maana 32 GB tu ni ghali...nina 3gs..nataka ni updgrade kwa hiyo 4s vipi unaweza shusha kidogo..kama vipi ukireply naomba nitumie na namba zake za nyuma..i.e 1233..sawa kaka..
 
Mkuu pesa ipo thats why nimeomba namba mbna unajibu ka hutaki biashara
 
Lyamber hizo namba ndo zinasaidia kujua kama ni kichinese ama original,hebu nipe maujuzi nami pia nisije ingia choo kisichostahili
NI hivi mkuu..iphone 3gs..zinaanza na 12XX, iphone4 13xx, etc..sasa kama angenipa nigezigoogle then unajua kweli kitu ndo chenyewe..mkuu
 
aaah n imekuelewa sana mkuu...kumbe unaogopa kuuziwa kanya boya
NI hivi mkuu..iphone 3gs..zinaanza na 12XX, iphone4 13xx, etc..sasa kama angenipa nigezigoogle then unajua kweli kitu ndo chenyewe..mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom