Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,211
- 79,685
- Thread starter
- #21
Njoo pmLocation ?
Njoo pmLocation ?
Angekuwa doctor Manyaunyau watu wangekosa hamu kabisa.
😂😂😂Unajua mimi kuna muda mnakuwa mnauza vitu na hela ya kuvinunua nakuwa nayo ila kitendo cha kutonitag basi nahisi kama mmenidharau sana kiasi cha kuamua kugoma kununua hizo bidhaa aisee
Jeupe ndo kutoka nje ya Africa sio? Hapa bongo yamejaa ya kaki(south) au vice versa?Hiyo hisense ni box la kaki au box jeupe
😀😀Picha umepiga ukiwa umalala sakafuni ? .Embu piga picha kama unauza.
Unaweza kukosa wateja kwa picha moja.
Piga picha tuone uliyobandika ukutani ili uthibitishe kuwa hiyo Hisense ni taka taka. Na kama hutkuwa na zifuatazo na wewe utakuwa na taka taka ukutaniHuuu uchafu wauzie washamba. Unakazana dungu dungu... Una ushamba mwingi sana. Hiyo kawauzie wa kijijini.
jina lefuUnajua mimi kuna muda mnakuwa mnauza vitu na hela ya kuvinunua nakuwa nayo ila kitendo cha kutonitag basi nahisi kama mmenidharau sana kiasi cha kuamua kugoma kununua hizo bidhaa aisee
Usicheke mkuu January hiiLaki 7 ila nikija na laki 6 fresh 😂🤣
Kama unauhakika waambie mods waziunganishe. Ilivku prove unacho andika hapa.Kikundi Cha id kinatembea kwa umoja kama yangeyange
Sijamtaja mtu...naona umewashwa mapemaKama unauhakika waambie mods waziunganishe. Ilivku prove unacho andika hapa.