CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari za asubuhi wadau?
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Mpunga upo Ndala (Tabora)
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Mpunga upo Ndala (Tabora)
Upo Ndala sehemu gani? Njoo pm tuwasiliane Mimi nipo Puge center hapa. Uje tuongeeHabari za asubuhi wadau?
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Mpunga upo Ndala (Tabora)
Tupe bei kwa gunia
mbegu gani na ni wa mbolea au sio wamboleaContacts:
0763718328
Kuna mnunuzi hapo kweli!!!mbegu gani na ni wa mbolea au sio wambolea
kuna watu ninaowafaham wanaofanya sana hii biashara igunga ukitiririka vizur hata nikiwapa taarifa hizo gunia wanachukua zoteKuna mnunuzi hapo kweli!!!
mpunga wako ni aina gani,,kati ya hizi,Habari za asubuhi wadau?
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Mpunga upo Ndala (Tabora)
HaaaaaahKuna mnunuzi hapo kweli!!!
Mkuu, namba yangu hii hapa.
0763718328
Niunganishe nao hao jamaa