- Thread starter
- #21
why unaiuza wakati umeinunua mwaka huu-huu? ni automatic au manual?
sorry kama nitakuwa nimechelewa kukujibu, nilikosa net access kwa muda. Gari zote ni automatic, sina tabia ya kutumia manual tangu nianze kununua magari. Pili, sababu kuu ya kupunguza magari ni kuwa mimi niko mwenyewe, siwezi kutumia gari zote tatu kwa wakati mmoja, baada ya kukaa muda mrefu nimekuta betri mbili zimekufa tyari kwa kutotumika. Sasa najiuliza si bora niziachie kwa kuwa nanunua betri bila sababu?mfano november nuimenunua betri mbili N50 tsh 120,000/=each. Kama zingekuwa zinatumika betri zisingekufa, ndio nimeamua niziuze zote ikiwamo hii pajero niliyonunua september.