Nauza gari vitz 4,200,000/= pungufu unaongea

Nauza gari vitz 4,200,000/= pungufu unaongea

Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,? Ndugu umesoma comment za mwanzo ama umekurupuka? Gari nimeishauza tangu mchana we we unakurupuka sasa hiv? Embu soma comment kwanza usikurupuke

Bei halisi ni Mil 1 kamili
 
Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,?

Bei halisi ni Mil 1 kamili
Mkuu unatiririkaaaaa mwenzio kashamaliza game kitambo
 
U
Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,?

Bei halisi ni Mil 1 kamili
Usikurupuke soma comment zote usiwe na mawazo mgando na kuleta humu story za lumumba, maisha hayapo hivyo
 
HIV OTE="Frank jb, post: 18338293, member: 229638"]U

Usikurupuke soma comment zote usiwe na mawazo mgando na kuleta humu story za lumumba, maisha hayapo hivyo[/QUOTE]
Hiv tumeishafika kwenye namba GHP? Kweli we we ni (Member hewa humu ndani inabidi uhakikiwe si bure)
 
We we ni member hewa kahakikiwe Gari nimeishauza utabaki na roho mbaya yakoTE="jaji mfawidhi, post: 18338221, member: 353916"]Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,?

Bei halisi ni Mil 1 kamili[/QUOTE]
Wewe
 
Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,?
Umejiunga mwaka huu haunijui, wanaonijua miaka 3 iliyopita wanajua biashara ninazofanya, badala ya ulale ukamalizie mitihani yako ya form 4 kesho usije ukafeli povu linakutoka mpaka matakoni! Ujue maisha kua uyaone, vitz nimeuza tangu mchana Wa saa nane na nimenunua Noah tayari! Kalale kesho uwahi kufanya mitihan yako ya kidato cha nne

Bei halisi ni Mil 1 kamili
 
Jaji mfawidhi said kalale kesho ukafanye mtihan sasa na kwenye mtihan kakurupuke kama haujafeli
 
Mpendwa gari nimeishauza Na nimepata noah , picha nimekuwekea Na ninakushauri acha roho mbaya kwenye biashara za watu
hata ukiuza laki nane ni kuuza tu,sijakuambia haiuziki,nimekuambia kongwe sana,na ndiyo ukweli ambao unatokana na kolometer ikimaanisha ni muda liliotumika barabarani,kwa utaratibu no kuwa timing belt umebadilisha mara mbili na inakaribia ya tatu.
Jifunze kuwa ukweli siyo roho mbaya,au huenda ni mgeni katika magari,hivi ukiambiwa una miaka 55 umezeeka,kuna roho mbaya hapo?
 
Ulimbukeni ni mbaya sana,kwani baada ya kuuza ungekaa kimya ungeathirika na nini!
Hakuna kisichouzika ila tatizo ni bei ya kuuzia
 
ahahahaaa watu banah duuuhhh mapooovu mtu keshamaliza biashara
 
mkuu milioni mbili hizi hapa,
kwanini nilioni mbili,
(a)muda wa maisha wa gari yako(life span)imebakinchache,kwakuwa gari yenye CC 990 kutembea km 230,000 ni sawa na binadamu kuwa na miaka 75,kama ni mwanamke HAOLEWI TENA.

(b)Milango mitatu ni kuwa abiria akipanda nyuma na mwingine mbele na wa nyuma akawahi kufika safari yak(destination),basi wa mbele ni lazima ashuke hata kama ni mgonjwa au mzee kama hiyo gari na hata akiwa baba yako,na zaidi ni kuwa,ikiwa inanyesha ni lazima alowe hata wa mbele,na kam ni hatari itawakumba wote.

(c) uchumi hauruhusu kununua gari tegemezi ambayo hata hutaweza kuifanya tax bubu ukikwama,ila naihitaji kwa shughuli fulani.
Njoo pm nikupe ela.

Ulikua unajiita Coxson.
Mara ukawa unajiita Gari nion.
Sasa hivi eti unajiita Mnondwe
Punguza mapepe shost!
 
Back
Top Bottom