Nauza gari vitz 4,200,000/= pungufu unaongea

Nauza gari vitz 4,200,000/= pungufu unaongea

Frank jb

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2014
Posts
418
Reaction score
122
Habari zenu wandugu, nauza gari yangu aina ya Vitz ya milango mitatu (Bei ya kuanzia kuuza ni Tshs. 4,200,000/=) Pungufu unaongea, dhumuni la kuuza gari hii ni kutaka kubadilisha gari, ni gari ninayoitumia kila siku katika mizunguko yangu kutoka Goba ninapoishi mpaka Kinondoni ninapofanyia kazi. Kama niliposema awali nataka kubadilisha gari, nahitaji kununua Noah pindi nitakapouza gari hii ama kama kutakuwa na mtu ana Noah (Old Model yenye Injini ya 3S) namba yoyote ile tunaelewana nampa Vitz yangu na kumuongezea na pesa kidogo ili anipatie Noah.

Gari yangu ni ya mwaka 2003, namba T 985 BEM, (Kilometers 230,000) unaweza kujiuliza kwanini ina kilometers nyingi? Ni kwasababu aliyeniuzia alikuwa anaitumia kwa ajili ya masafa marefu Tanga na Kigoma kwa hivyo alipoamua kuiuza nilikuwa na jopo la mafundi wangu kama kawaida wakaikagua gari na wakanidhibitishia kuwa ni gari ambayo haina shida na tangu nimeinunua haijawahi kunisumbua na dhumuni ya kuiuza ni kutaka kubadilisha gari, na laiti kama ningekuwa nina pesa ya kutosha ya kununua Noah, basi hii gari yangu Vitz nisingeiuza kwakuwa bado naipenda na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana.

Natanguliza shukrani za dhati Namba yangu ya simu ni 0716 00 23 23 (Mimi Frank JB ndie mmiliki wa gari na sio Dalali), Asante.
SAM_2576.JPG
SAM_2577.JPG
SAM_2578.JPG
SAM_2579.JPG
SAM_2580.JPG
SAM_2581.JPG
SAM_2583.JPG
SAM_2584.JPG
SAM_2585.JPG
SAM_2586.JPG
SAM_2587.JPG
SAM_2588.JPG
 
Habari zenu wandugu, nauza gari yangu aina ya Vitz ya milango mitatu (Bei ya kuanzia kuuza ni Tshs. 4,200,000/=) Pungufu unaongea, dhumuni la kuuza gari hii ni kutaka kubadilisha gari, ni gari ninayoitumia kila siku katika mizunguko yangu kutoka Goba ninapoishi mpaka Kinondoni ninapofanyia kazi. Kama niliposema awali nataka kubadilisha gari, nahitaji kununua Noah pindi nitakapouza gari hii ama kama kutakuwa na mtu ana Noah (Old Model yenye Injini ya 3S) namba yoyote ile tunaelewana nampa Vitz yangu na kumuongezea na pesa kidogo ili anipatie Noah.

Gari yangu ni ya mwaka 2003, namba T 985 BEM, (Kilometers 230,000) unaweza kujiuliza kwanini ina kilometers nyingi? Ni kwasababu aliyeniuzia alikuwa anaitumia kwa ajili ya masafa marefu Tanga na Kigoma kwa hivyo alipoamua kuiuza nilikuwa na jopo la mafundi wangu kama kawaida wakaikagua gari na wakanidhibitishia kuwa ni gari ambayo haina shida na tangu nimeinunua haijawahi kunisumbua na dhumuni ya kuiuza ni kutaka kubadilisha gari, na laiti kama ningekuwa nina pesa ya kutosha ya kununua Noah, basi hii gari yangu Vitz nisingeiuza kwakuwa bado naipenda na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana.

Natanguliza shukrani za dhati Namba yangu ya simu ni 0716 00 23 23 (Mimi Frank JB ndie mmiliki wa gari na sio Dalali), Asante.
NYOTE MNAKARIBISHWA
 
Aisee safi sana! Kumbe vits inaeza enda km 200,000+

Kila la kheri utauza tuuu
 
0657777001 mtafute Huyo jamaa wana badilisha magari utaongeza pesa kidogo wao wanauza magari .
Anaitwa Exaudy Ernest
ukifanikiwa ulete mrejesho.
 
mkuu milioni mbili hizi hapa,
kwanini nilioni mbili,
(a)muda wa maisha wa gari yako(life span)imebakinchache,kwakuwa gari yenye CC 990 kutembea km 230,000 ni sawa na binadamu kuwa na miaka 75,kama ni mwanamke HAOLEWI TENA.

(b)Milango mitatu ni kuwa abiria akipanda nyuma na mwingine mbele na wa nyuma akawahi kufika safari yak(destination),basi wa mbele ni lazima ashuke hata kama ni mgonjwa au mzee kama hiyo gari na hata akiwa baba yako,na zaidi ni kuwa,ikiwa inanyesha ni lazima alowe hata wa mbele,na kam ni hatari itawakumba wote.

(c) uchumi hauruhusu kununua gari tegemezi ambayo hata hutaweza kuifanya tax bubu ukikwama,ila naihitaji kwa shughuli fulani.
Njoo pm nikupe ela.
 
mkuu milioni mbili hizi hapa,
kwanini nilioni mbili,
(a)muda wa maisha wa gari yako(life span)imebakinchache,kwakuwa gari yenye CC 990 kutembea km 230,000 ni sawa na binadamu kuwa na miaka 75,kama ni mwanamke HAOLEWI TENA.

(b)Milango mitatu ni kuwa abiria akipanda nyuma na mwingine mbele na wa nyuma akawahi kufika safari yak(destination),basi wa mbele ni lazima ashuke hata kama ni mgonjwa au mzee kama hiyo gari na hata akiwa baba yako,na zaidi ni kuwa,ikiwa inanyesha ni lazima alowe hata wa mbele,na kam ni hatari itawakumba wote.

(c) uchumi hauruhusu kununua gari tegemezi ambayo hata hutaweza kuifanya tax bubu ukikwama,ila naihitaji kwa shughuli fulani.
Njoo pm nikupe ela.
Asante
 
mkuu milioni mbili hizi hapa,
kwanini nilioni mbili,
(a)muda wa maisha wa gari yako(life span)imebakinchache,kwakuwa gari yenye CC 990 kutembea km 230,000 ni sawa na binadamu kuwa na miaka 75,kama ni mwanamke HAOLEWI TENA.

(b)Milango mitatu ni kuwa abiria akipanda nyuma na mwingine mbele na wa nyuma akawahi kufika safari yak(destination),basi wa mbele ni lazima ashuke hata kama ni mgonjwa au mzee kama hiyo gari na hata akiwa baba yako,na zaidi ni kuwa,ikiwa inanyesha ni lazima alowe hata wa mbele,na kam ni hatari itawakumba wote.

(c) uchumi hauruhusu kununua gari tegemezi ambayo hata hutaweza kuifanya tax bubu ukikwama,ila naihitaji kwa shughuli fulani.
Njoo pm nikupe ela.
Ningelikuwa mjanja wa mjini si ningetafuta mafundi wa kupunguza kilometa? Sina roho hiyo ndugu ndo maana huwa napenda niuze gari jinsi lilivyo na humu ndani nimeishauza gar 3
 
Ningelikuwa mjanja wa mjini si ningetafuta mafundi wa kupunguza kilometa? Sina roho hiyo ndugu ndo maana huwa napenda niuze gari jinsi lilivyo na humu ndani nimeishauza gar 3
Uko vixuri, nakupata vema. Wewe ndio pekee ujuaye biadhara naskumbuka sana thread zako za awali
 
MREJESHO WAPENDW, NIMEFANIKIWA KUPATA NOAH, NILICHOFANYA NIMEMPA JAMAA WA NOAH VITZ YANGU NA KUMPA 2,500,000/= ASANTE SANA. NAAMBATANISHA NA PICHA ZA NOAH NILIYIPATA
 

Attachments

  • SAM_2591.JPG
    SAM_2591.JPG
    219 KB · Views: 91
  • SAM_2592.JPG
    SAM_2592.JPG
    210.9 KB · Views: 100
MREJESHO WAPENDW, NIMEFANIKIWA KUPATA NOAH, NILICHOFANYA NIMEMPA JAMAA WA NOAH VITZ YANGU NA KUMPA 2,500,000/= ASANTE SANA. NAAMBATANISHA NA PICHA ZA NOAH NILIYIPATA
Hii njema sana . i know u
 
mkuu milioni mbili hizi hapa,
kwanini nilioni mbili,
(a)muda wa maisha wa gari yako(life span)imebakinchache,kwakuwa gari yenye CC 990 kutembea km 230,000 ni sawa na binadamu kuwa na miaka 75,kama ni mwanamke HAOLEWI TENA.

(b)Milango mitatu ni kuwa abiria akipanda nyuma na mwingine mbele na wa nyuma akawahi kufika safari yak(destination),basi wa mbele ni lazima ashuke hata kama ni mgonjwa au mzee kama hiyo gari na hata akiwa baba yako,na zaidi ni kuwa,ikiwa inanyesha ni lazima alowe hata wa mbele,na kam ni hatari itawakumba wote.

(c) uchumi hauruhusu kununua gari tegemezi ambayo hata hutaweza kuifanya tax bubu ukikwama,ila naihitaji kwa shughuli fulani.
Njoo pm nikupe ela.
Mpendwa gari nimeishauza Na nimepata noah , picha nimekuwekea Na ninakushauri acha roho mbaya kwenye biashara za watu
 
Km 230000 alafu unauza m 4.2 ,Nakushauri piga nalo picha.

Vits watu namba GHP zinauzwa 3m pale lumumba!

Hebu jiulize swali,wewe umeinunua mil 5 zaidi ya miaka 5 iliyopita alafu unataka uiuze mil 4.4 ,hujui hata depreciation factor,?

Bei halisi ni Mil 1 kamili
 
Back
Top Bottom