Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Hahahaha umeshauza dashboard hivi sasa unauza seat???
Wonders shall never end wallah
Hahahaha umeshauza dashboard hivi sasa unauza seat???
Alikojozewa hapo
Kwanini hiyo IST usimuachie dada wa kazi kwaajili ya kwenda kununulia viungo sokoni?Natka kununuaa harrier thus why NAUZA hii. ..!!
Huyu Itakua anauza dashboardAu anauza kimoja kimoja na kaanza na dashboard mkuu?