Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 590
- 482
- Thread starter
- #41
kichomiz .unajua hata bungeni kuna wabunge waelewa na wasio waelewa wanafanya mambo ya kitoto. Nimeweka tu hii gari yangu huku kwakua hii familia ya jf ni kubwa na unaweka kitu cha uhakika na wengi wetu humu wanauelewa mkubwa ndo mana wanauliza maswali yenye mantic ili wengi wapate kujua kuhusu kitu husika kinachouzwa.
Last edited by a moderator: