Nauza camera aina 500d canon na lens yake

Nauza camera aina 500d canon na lens yake

Misa

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
838
Reaction score
135
Camera aina ya Canon 500D nauza imetumika,sio hapa Tanzania lakini ni nje,
 
Utasikia imeshauzwa,sijui kwanini hawaweki bei,hata simu hakuna
 
Camera aina ya Canon 500D nauza imetumika,sio hapa Tanzania lakini ni nje,

Nauliza kwani kuna tofauti gani kati ya kutumika sio hapa Tanzania na kutumika huko nje ilikotoka?
 
We kwanini ununue gari used kutoka japan na usinunue gari use toka hapa hapa kwa mbongo mwenzako. Ukiwa na jibu la hapo basi hata swali ulilomuuliza jamaa jibu unalo.
Nauliza kwani kuna tofauti gani kati ya kutumika sio hapa Tanzania na kutumika huko nje ilikotoka?
 
We kwanini ununue gari used kutoka japan na usinunue gari use toka hapa hapa kwa mbongo mwenzako. Ukiwa na jibu la hapo basi hata swali ulilomuuliza jamaa jibu unalo.

Tunanunua magari used hata hapa hapa kutoka kwa wabongo wenzetu au hujui hilo,pia tunanunua used kutoka Japan kwa kuwa hatuna uwezo wa kununua magari mapya hapa bongo na Japan used ni bei poa kuliko gari jipya sasa kwa Camera used huko nje sijui bado ina tofauti gani na camera used hapa Bongo,naona baado tuna ulimbukeni wa kusema used ya nje ni bora kwa matumizi kuliko used ya hapa nchini,au twadhani watumiaji wa nje ni makini zaidi kuliko watumiaji wa hapa nchini na hiyo ni dhana potovu tuiache kama unauza kitu sema tu kimetumika ,na si eti sijui imetumika nje na si hapa nchini ,kutumika kwa kitu hakulinganishwi na mahala kinapotoka bali binafsi mwenye hicho kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom